johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,877
Najua nafasi katika Kanisa Anglican jimbo la Tanzania na hususani Dayosisi ya Dar es Salaam ndio maana nakuomba sana mh Prof Kabudi utusaidie kumng'amua aliyeuza kiwanja cha Kanisa kule Buza ili kijengwe kituo cha daladala.
DC Gondwe ambaye pia ni mwana St Alban japo yeye ni Mlutheri wa Mbezi Beach amefichua uozo huu na kutufumbua macho sasa ni jukumu lenu wazee wa dayosisi tena mlio wakongwe Prof Kabudi na kapteni Mkuchika mkatutatulia kitendawili hiki cha serikali kununua kiwanja cha Kanisa kinyemela.
Mungu wa mbinguni awatie moyo muweze kusimamia kweli.
Maendeleo hayana vyama!
DC Gondwe ambaye pia ni mwana St Alban japo yeye ni Mlutheri wa Mbezi Beach amefichua uozo huu na kutufumbua macho sasa ni jukumu lenu wazee wa dayosisi tena mlio wakongwe Prof Kabudi na kapteni Mkuchika mkatutatulia kitendawili hiki cha serikali kununua kiwanja cha Kanisa kinyemela.
Mungu wa mbinguni awatie moyo muweze kusimamia kweli.
Maendeleo hayana vyama!