Prof. Kabudi tusaidie kumng'amua aliyeuza eneo la Kanisa Anglican kule Buza na kumfanya DC Gondwe kuchachamaa sana!

Naomba Picha ya Mokiwa nimemsahau.
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜„๐Ÿ˜ƒ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿ˜€๐Ÿ˜…๐Ÿ˜„๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜
Search Thread Zinazozungumzia Huu Mgogoro
Huko Picture Tele Za Archbishop Mokiwa
Uongozi Umezuiwa Usichangiwe Tena
 
Buza eneo halijauzwa.. bali wameingia mkataba na tajiri kishimba mbunge wa kahama... amejenga appartments nyingiiiii... ambazo kodi anazolipwa kuna asilimia inaenda kanisani Anglican
Ninavyo fahamu mimi, sioni tatizo lolote Buza, kwa kuwa baada ya miaka 25 kanisa litakuwa na nyumba 450. Na miaka Minne imekwisha pita. Sasa hivi wanachukua chochote kitu kwa upangaji na walipata kishika uchumba. Hapa ni kutengemea muono wa kila muumini.
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜„๐Ÿ˜ƒ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿ˜€๐Ÿ˜…๐Ÿ˜„๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜
Search Thread Zinazozungumzia Huu Mgogoro
Huko Picture Tele Za Archbishop Mokiwa
Uongozi Umezuiwa Usichangiwe Tena
Naomba heading mkuu tuusome
 
Back
Top Bottom