johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,816
- 141,719
- Thread starter
- #21
Hakuna bwashee!sadaka zetu, hivi Anglican Church dayosisi ipi inaunafuu kwenye usimamizi wa mali za kanisa?
Hakuna bwashee!sadaka zetu, hivi Anglican Church dayosisi ipi inaunafuu kwenye usimamizi wa mali za kanisa?
๐ ๐๐๐คฃ๐๐๐๐ ๐๐คฃ๐คฃ๐๐Naomba Picha ya Mokiwa nimemsahau.
Ninavyo fahamu mimi, sioni tatizo lolote Buza, kwa kuwa baada ya miaka 25 kanisa litakuwa na nyumba 450. Na miaka Minne imekwisha pita. Sasa hivi wanachukua chochote kitu kwa upangaji na walipata kishika uchumba. Hapa ni kutengemea muono wa kila muumini.Buza eneo halijauzwa.. bali wameingia mkataba na tajiri kishimba mbunge wa kahama... amejenga appartments nyingiiiii... ambazo kodi anazolipwa kuna asilimia inaenda kanisani Anglican
Hem ilete mkuu tuisome tuu au tupe heading tuisearchNani Ya Kanisa Shida
Thread Za Hii Issue Zipo Humu Ila Zimefungwa Huwezi Kuchangia Tena!!
Naomba heading mkuu tuusome๐ ๐๐๐คฃ๐๐๐๐ ๐๐คฃ๐คฃ๐๐
Search Thread Zinazozungumzia Huu Mgogoro
Huko Picture Tele Za Archbishop Mokiwa
Uongozi Umezuiwa Usichangiwe Tena
Ndio bwashee!hivi hili kanisa si ndo aliwahi kuwapo Archbishop Ramadhani?
Chanzo cha migogoro yao ni kuruhusu democrasia unlike the Catholic church.Ndio bwashee!
Takukuru wameingilia katiKuna eneo Gondwe amesema panataka kujengwa stendi ya daladala, unapajua hapo bwashee?!
Andika Mgogoro Wa Kanisa Anglican Kuhusu Kituo Cha Mafuta BuguruniNaomba heading mkuu tuusome
PoamkuuAndika Mgogoro Wa Kanisa Anglican Kuhusu Kituo Cha Mafuta Buguruni
Google Uione Faster
BadoTakukuru wameingilia kati