state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,511
Tukio la vijana zaidi ya 54 wa kichina kupewa majina ya kiislamu sio dogo kabisa linapokuja suala la utamaduni wa kiroho na kidini kwa raia wa China (spiritual/religious beliefs )
Wakati idadi ya wachina waislamu wakizuiwa kwenye majera ya siri kama kuzuia uislamu nchinj kwao ambao huonekana kama hatari za usalama wa nchi hapa chuoni UDSM wahadhiri wameamua kuwapa majina hayo na kuwapa mwelekeo wa kiislamu vijana wanaokuja kusoma lugha ya kiwahili ,
Majina ya kiifrika yanajulikana majina ya kiasili ya kitanzania yanajulikana sio ,swaumu,khadija,muksini,akramu na n.k ambayo vijna hao wamepewa na wewe uko kimya .
Kupitia azamu two mwalimu huyu (pichani) amejitaja kuwa yeye ndio amewapa majina hayo akisema niyakitanania huku akijua sio kweli ,chukua hatua mapema
Wakati idadi ya wachina waislamu wakizuiwa kwenye majera ya siri kama kuzuia uislamu nchinj kwao ambao huonekana kama hatari za usalama wa nchi hapa chuoni UDSM wahadhiri wameamua kuwapa majina hayo na kuwapa mwelekeo wa kiislamu vijana wanaokuja kusoma lugha ya kiwahili ,
Majina ya kiifrika yanajulikana majina ya kiasili ya kitanzania yanajulikana sio ,swaumu,khadija,muksini,akramu na n.k ambayo vijna hao wamepewa na wewe uko kimya .
Kupitia azamu two mwalimu huyu (pichani) amejitaja kuwa yeye ndio amewapa majina hayo akisema niyakitanania huku akijua sio kweli ,chukua hatua mapema