Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,200
- 27,251
ulichokosea ni kumsifia kabudi kwenye hyo timu ya majadiliano, ilibidi umponde na uikosoe timu yote ya majadiliano hata kama huijui, HAPO NDO UNGEWAFURAHISHA BAVICHA, bila hvyo na kwa post hii pambana nao tu mwenyewe ila naona unakismati sana yaan hadi sasa ivi hujatukanwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app