johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,957
- 141,946
Waziri wa mambo ya nje amesema kuna wakati kiswahili kimekuwa kikitumika ndivyo sivyo lakini wasomi na waandishi wa habari wamekaa kimya.
Kwa mfano maneno Kuchakachua na Fisadi yamekuwa yakitumika isivyo stahili. Kuchakachua maana yake ni kuchanganya kimiminika kisicho na ubora na kile chenye ubora ili kuongeza thamani.
Na fisadi ni mwanamme anayetongoza wake za watu, amemalizia Prof Kabudi.
Source Ayo tv!
Kwa mfano maneno Kuchakachua na Fisadi yamekuwa yakitumika isivyo stahili. Kuchakachua maana yake ni kuchanganya kimiminika kisicho na ubora na kile chenye ubora ili kuongeza thamani.
Na fisadi ni mwanamme anayetongoza wake za watu, amemalizia Prof Kabudi.
Source Ayo tv!