Nyaka-One
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 4,884
- 7,021
Lissu atenganishwe kabisa na anguko la huyo Prof. kwenye sanduku la kura.hii suala la lisu huenda likamuharibia dugu yetu jenabi
Lissu atenganishwe kabisa na anguko la huyo Prof. kwenye sanduku la kura.hii suala la lisu huenda likamuharibia dugu yetu jenabi
How???Lissu atenganishwe kabisa na anguko la huyo Prof. kwenye sanduku la kura.
Kama Prof. hafai basi hafai tu kwenye hiyo nafasi. Lissu asije kusingiziwa kuwa ndiyo sababu ya Prof. kukosa nafasi iwapo atakosa hiyo nafasi.How???
Kaunga unga kama samia ...Watakunja ngumi mpaka wachoke tu. Janabi mwenyewe inasemekana wala siyo daktari bingwa kaunga unga tu. Sasa amekomaa na mambo ya lishe wakati wala siyo uwanja wake wa kitaaluma. Ndo maana anaishia kushushuliwa kwa kutulisha matango pori 😂😂😂
Nilijua tu lazima uzame mct, nikuibie tu siri huo utambuzi atakua ameupata hivi karibuni...haya embu niambie hiyo specialist ya cardiology wanayosema anayo kaipata wapi?. Maana huwa mnampa cheo cha udaktari bingwa wa magonjwa ya moyo.Mct inamtambua, kamaliza digrii ya kwanza ya udaktari mwaka 1989 Ukraine.
Janabi kuna thread hapa JF nilikuwa namsema sana kwamba anabumbabumba mambo.Prof.Janabi akiambiwa uongo wake na Mkali wa Bio-Chemistry View attachment 3309840
Kuitaja MCT hivi ni logical fallacy ya "argument from authority".Nilijua tu lazima uzame mct, nikuibie tu siri huo utambuzi atakua ameupata hivi karibuni...haya embu niambie hiyo specialist ya cardiology wanayosema anayo kaipata wapi?. Maana huwa mnampa cheo cha udaktari bingwa wa magonjwa ya moyo.
Dah Imeniacha mdomo wazi yaani Profesa ameonekana muongo na hajui anachokiongea,naanza kupata mashaka na ubora wa elimu yetuAu tunashadadia kwa vile amesema mzungu? Ina maana Tanzania hatuna wasomi waliokuwa wanafahamu hizo hoja anazokuja nazo mzungu? Ni vipi kama Janabi alikuwa anazungumzia hakuna ulazima wa kuchanganya matunda kama kote unaweza kupata fructose, maltose na sucrose? Hatuoni kama ukiyachanganya unaweza kuzidisha kiwango kinachojitajika na mwili? Wacha nisubiri wanafunzi wa Prof. Janabi wanavyoweza kumnasua mwalimu wao katika hili!
Janabi ni mfano halisi wa elimu yetu,imagine prof mzima anachanganya mambo kiasi hiki.Na anao wafundisha hapo wanatoka wakiwa bomu tupu.Prof mzima eti ameota usiku na ukiwa challenge wanakuwa wakali kinoma.Prof.Janabi akiambiwa uongo wake na Mkali wa Bio-Chemistry View attachment 3309840
Watu hawaelewi mkuu,..Janabi yupo hapo alipo kisiasa tu na ushikaji but kusema ukweli siyo daktari wa ukweli labda wa mchongo tu maana hata hiyo MD yake ya ukraine sijui nna wasiwasi nayoKimutaja MCT hivi ni logical fallacy ya "argument from authority".
Hii haina tofauti na kufanya kitu kwa sababu ya "amri kutoka juu" bila kuelewa sababu.
Kwa mfano mtu anayekula ndizi kumi kwa pamoja amekuka sukari nyingi kuliko aliyekula ndizi moja na chungwa moja.Sasa Janabi anasema sukari ya jikoni ni glucose?
Sukari ya jikoni Sio glucose, bali ikimeng'enywa moja ya product yake inakua glucose, basically chakula cha wanga chochote kikimengenywa lazima moja ya end product zake ziwe glucose
Hata ugali ukimengenywa unatoa glucose, so tunaweza kusema ugali ni glucose simply kwa sababu kwenye digestion itapatikana glucose?
Kwenye ishu ya kuchanganya matunda pia sijoana hoja ya Janabi,
kama ishu ni kuwa mtu akichanganya atakuwa ame consume sukari nyingi, kwani hawezi kula bila kuchanganya na akawa ametumia tunda la aina moja lenye sukari nyingi?
Mnaleta siasa kwenye sayansi inafikia hatua mnauza udokta na uprofesa kwa kujuana kama pipiProf.Janabi akiambiwa uongo wake na Mkali wa Bio-Chemistry View attachment 3309840
Mbona hiv vitu tumekula tangu tukiwa mimba mpaka leo tunazeeka hakuna shida hasa huko vijijinWatanzania tujifunze namna ya kuchakata taarifa siyo kila tunachokiona mitandaoni tunakibeba tu.
Sasa huyu mzungu ameonyesha uongo gani wa alichosema Janabi? mbona kwenye video ameenda tu expand na kutolea maelezo zaidi yale aliyoyasema Prof.
Tuzingatie kwamba Janabi alikua naongea kwenye hadhara ya watu ambayo angeanza kubreak down hizo molecules wasingemuelewa, ametumia glocose kwenye maelezo kwa sababu ni aina ya sukari inayojulikana zaidi na watanzania kuliko hizo nyingine.
Kwenye Muktadha wa nutrition, kula mchanganyiko wa matunda (fruit salad) kunasababisha kuconsume kiasi kikubwa cha sukari kwa sababu matunda yanatofautiana viwango vya aina za sukari zilivyonavyo. Kijiko kimoja kidogo cha sukari ni gramu 5, sasa fikiria ukijaza bakuli la mchanganyiko wa matunda umeweka ndizi, zabibu, embe, nanasi na machungwa, unakula gramu ngapi za sukari kwa mlo mmoja (matunda yana virutubisho na faida nyingi kwenye lishe hasa kwenye kutengeneza mlo kamili, ila ni muhimu yaliwe kwa kiasi).
Huyu mzungu anawapotosha na watu mnashupaza vichwa tu kijinga jinga, "za kuambiwa changanya na zako, sivyo utapoteana mjini hapa".
"Jedwali la kiwango cha sukari kwa kila gramu 100 ya matunda"
View attachment 3310073
Kumbe ulishamsanukia kitambo mkuu🤔Janabi kuna thread hapa JF nilikuwa namsema sana kwamba anabumbabumba mambo.
Watu wengi wakawa hawanielewi.
Sasa labda kasema mtu aliyechambua biochemistry mnaweza kuelewa.