Prof Janabi awekwa mtu kati

Prof Janabi awekwa mtu kati

Mct inamtambua, kamaliza digrii ya kwanza ya udaktari mwaka 1989 Ukraine.
Nilijua tu lazima uzame mct, nikuibie tu siri huo utambuzi atakua ameupata hivi karibuni...haya embu niambie hiyo specialist ya cardiology wanayosema anayo kaipata wapi?. Maana huwa mnampa cheo cha udaktari bingwa wa magonjwa ya moyo.
 
Nilijua tu lazima uzame mct, nikuibie tu siri huo utambuzi atakua ameupata hivi karibuni...haya embu niambie hiyo specialist ya cardiology wanayosema anayo kaipata wapi?. Maana huwa mnampa cheo cha udaktari bingwa wa magonjwa ya moyo.
Kuitaja MCT hivi ni logical fallacy ya "argument from authority".

Hii haina tofauti na kufanya kitu kwa sababu ya "amri kutoka juu" bila kuelewa sababu.
 
Au tunashadadia kwa vile amesema mzungu? Ina maana Tanzania hatuna wasomi waliokuwa wanafahamu hizo hoja anazokuja nazo mzungu? Ni vipi kama Janabi alikuwa anazungumzia hakuna ulazima wa kuchanganya matunda kama kote unaweza kupata fructose, maltose na sucrose? Hatuoni kama ukiyachanganya unaweza kuzidisha kiwango kinachojitajika na mwili? Wacha nisubiri wanafunzi wa Prof. Janabi wanavyoweza kumnasua mwalimu wao katika hili!
Dah Imeniacha mdomo wazi yaani Profesa ameonekana muongo na hajui anachokiongea,naanza kupata mashaka na ubora wa elimu yetu
 
Kimutaja MCT hivi ni logical fallacy ya "argument from authority".

Hii haina tofauti na kufanya kitu kwa sababu ya "amri kutoka juu" bila kuelewa sababu.
Watu hawaelewi mkuu,..Janabi yupo hapo alipo kisiasa tu na ushikaji but kusema ukweli siyo daktari wa ukweli labda wa mchongo tu maana hata hiyo MD yake ya ukraine sijui nna wasiwasi nayo
 
Sasa Janabi anasema sukari ya jikoni ni glucose?
Sukari ya jikoni Sio glucose, bali ikimeng'enywa moja ya product yake inakua glucose, basically chakula cha wanga chochote kikimengenywa lazima moja ya end product zake ziwe glucose
Hata ugali ukimengenywa unatoa glucose, so tunaweza kusema ugali ni glucose simply kwa sababu kwenye digestion itapatikana glucose?

Kwenye ishu ya kuchanganya matunda pia sijoana hoja ya Janabi,

kama ishu ni kuwa mtu akichanganya atakuwa ame consume sukari nyingi, kwani hawezi kula bila kuchanganya na akawa ametumia tunda la aina moja lenye sukari nyingi?
Kwa mfano mtu anayekula ndizi kumi kwa pamoja amekuka sukari nyingi kuliko aliyekula ndizi moja na chungwa moja.
 
Prof.Janabi akiambiwa uongo wake na Mkali wa Bio-Chemistry View attachment 3309840
Mnaleta siasa kwenye sayansi inafikia hatua mnauza udokta na uprofesa kwa kujuana kama pipi
Bado hamjanielewa yaani namaanisha usomi unatakiwa uonekane sio makaratasi peke yake badala yake msaada jamii ni kama ukiangalia vizuri yeyeyote anaemsifia janabi nyuma ya pazia ni kama hua anaangua kicheko.
 
Watanzania tujifunze namna ya kuchakata taarifa siyo kila tunachokiona mitandaoni tunakibeba tu.
Sasa huyu mzungu ameonyesha uongo gani wa alichosema Janabi? mbona kwenye video ameenda tu expand na kutolea maelezo zaidi yale aliyoyasema Prof.

Tuzingatie kwamba Janabi alikua naongea kwenye hadhara ya watu ambayo angeanza kubreak down hizo molecules wasingemuelewa, ametumia glocose kwenye maelezo kwa sababu ni aina ya sukari inayojulikana zaidi na watanzania kuliko hizo nyingine.

Kwenye Muktadha wa nutrition, kula mchanganyiko wa matunda (fruit salad) kunasababisha kuconsume kiasi kikubwa cha sukari kwa sababu matunda yanatofautiana viwango vya aina za sukari zilivyonavyo. Kijiko kimoja kidogo cha sukari ni gramu 5, sasa fikiria ukijaza bakuli la mchanganyiko wa matunda umeweka ndizi, zabibu, embe, nanasi na machungwa, unakula gramu ngapi za sukari kwa mlo mmoja (matunda yana virutubisho na faida nyingi kwenye lishe hasa kwenye kutengeneza mlo kamili, ila ni muhimu yaliwe kwa kiasi).

Huyu mzungu anawapotosha na watu mnashupaza vichwa tu kijinga jinga, "za kuambiwa changanya na zako, sivyo utapoteana mjini hapa".

"Jedwali la kiwango cha sukari kwa kila gramu 100 ya matunda"
View attachment 3310073
Mbona hiv vitu tumekula tangu tukiwa mimba mpaka leo tunazeeka hakuna shida hasa huko vijijin
 
Janabi kuna thread hapa JF nilikuwa namsema sana kwamba anabumbabumba mambo.

Watu wengi wakawa hawanielewi.

Sasa labda kasema mtu aliyechambua biochemistry mnaweza kuelewa.
Kumbe ulishamsanukia kitambo mkuu🤔
 
Back
Top Bottom