Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,892
- 155,910
Let us talk reality! Mimi sio mdau kabisa wa huyu professor. Pengine kuna mambo yake baadhi siyapendi kabisa ila hichi anachokiongea kuhusu ulaji anaongea ukweli asilimia mia na zaidi mbaya zaidi wa tz huwa ni wabishi kwa kila kitu, naomba nikuangazie vitu kadha wa kadha 😭😭
Leo hii ng'ombe wa kienyeji wanapigwa vita pengine wanatokomea kabisa, ng'ombe tulio nao ni wale mnaowaita wa kisasa ambao bila sindano hawaendi lazima madawa na ma chemicals jiulize maswali je maziwa unayokunywa ni salama? Ndio yele walokunywa babu zetu?
Mahindi ya kilimo cha zamani yamepotea sasahivi tunaambiwa kuna mbegu za kisasa na za muda mfupi, tena bila madawa hayakui so jiulize ugali unaokula tena bila kukoboa ni salama?
Mchele wa zamani umepotea leo kuna mbegu ya kisasa ya madawa 😭😭😭
Hali kadhalika matunda yote ni ya kisasa.
Maji tunayokunywa sio yale ya chemichemi ni yale ya viwandani yenye chemical.
Kwahiyo binadamu wa sasa ndie anaemuangamiza binadamu mwenzake.
Jiulize kuanzia asbh mpaka jua linachoea unakula chemical tu mwilini utapona kweli? Ndio maana leo umri mdogo ndio wanaoondoka kwa haraka, please mweleweni Janabi.
Leo hii ng'ombe wa kienyeji wanapigwa vita pengine wanatokomea kabisa, ng'ombe tulio nao ni wale mnaowaita wa kisasa ambao bila sindano hawaendi lazima madawa na ma chemicals jiulize maswali je maziwa unayokunywa ni salama? Ndio yele walokunywa babu zetu?
Mahindi ya kilimo cha zamani yamepotea sasahivi tunaambiwa kuna mbegu za kisasa na za muda mfupi, tena bila madawa hayakui so jiulize ugali unaokula tena bila kukoboa ni salama?
Mchele wa zamani umepotea leo kuna mbegu ya kisasa ya madawa 😭😭😭
Hali kadhalika matunda yote ni ya kisasa.
Maji tunayokunywa sio yale ya chemichemi ni yale ya viwandani yenye chemical.
Kwahiyo binadamu wa sasa ndie anaemuangamiza binadamu mwenzake.
Jiulize kuanzia asbh mpaka jua linachoea unakula chemical tu mwilini utapona kweli? Ndio maana leo umri mdogo ndio wanaoondoka kwa haraka, please mweleweni Janabi.