Prof. Haji Semboja umenishangaza

Mkawadanganye wa vijijini.
 

 
Namkubali sana Prof Ndumilakwili!! Huyu pekee ndoi huwa hakosei target zake!
 
Sasa mnategemea nini mnapofanya negative publicity.kwenye tawi mlilolikalia. Wafadhili wataacha halafu unalia upuuzi huu, shit on you!!!!
 
Wee jamaa vipi? Sasa unataka atoe maoni yako? Katoa yake unatoa povu, hivi nyie viumbe zinawatosha kweli??
 
Tatizo la hawa wafitini.wanataka kusikia mtu anaponda tu.pumbavu zenu. Proffessa katoa uchambuzi pamoja na maoni yake kitaalamu zaidi na ameonesha ujuzi wake pasipo kuingiza siasa za kikuda.
Vipi nikwanini upende kusikia kitu ambacho kitakufurahisha wewe,kwa kupitia mdomo wa mmwingine very pathetic indeed.
 
Semboja alete vyeti hapa.
Yani nimemuangia ITV anajambajamba tu,anasema kutoka mdomoni lakini sura inajua anadanganya kwakuwa anasubiria teuzi kama Bashite Muhongo
 
Katika kipindi ambacho maprofesa na madokta hawatakisahau ktk maisha yao ni awamu hii maana heshima na hadhi zao zinashuka na kudharaulika kwa kasi. salama yao ni kusimamia kweli. No way out.
 
Maelezo yake yana mantiki, ila kwa waliojipanga kuanzisha 'visred' vya kukosoa au kuchagua maneno watajifanya vipofu.
Kasema kwamba nchi imeanzisha miradi mikubwa mipya, na wafadhili siyo kwamba wamegoma sababu wameshatoa fedha za mobilization. Hivyo tutegemee fedha za miradi husika kuja hata kama ni kwa kuchelewa tofauti na vile tulivyotaka.
Duh, yaani kuna watu wanakesha kuiombea mabaya Tz, kisa mh Rais aonekane kushindwa!
 
Natafakari tu maana ya kuitwa "NYUMBU"
 
naona vikaragosi vya lumumba mmekuja kutetea ujinga wenu. nyie hamuoni walakini bajeti against mipango utekelezaji=34% hilo haliwasikitishi.
 
samahani hii serikali ina muda gani madarakani? Ina maana kila siku iko kwenye hatua moja.

Kutetea ujinga yakubidi uwe mjinga za ya ujinga unaotetea
 
yani mbuzi wa chadema ambae hata form two hakufika anamkashfu huyu profesa kweli?
 
Mkawadanganye wa vijijini.
Mnyika ni form VI tu Hana profession yoyote. Hana academic authority yoyote. Amesema kama muuza mitumba fulani. Watu kama hao huwa sipoteza hata sekunde moja kuwasikiliza kwenye mambo ya kitaalam kama haya.Watu kama akina Mbowe. Ni kupoteza muda mtakatifu kuwasikiliza. They are laymen.
 
Nimesikia profesa yuko sahihi kabisa Ila usipende kusikia kinachokufurahisha tu...Pendant kusikia vitu vya kweli..Profesa yuko sawa kabisa kiuchumi lakini
Kutetea ujinga kunahitaji phd
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…