bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,586
- 7,153
Mama kwa nini hakupeleka angalau kahela ka ugoro kwenye jimbo lake kuchangia zile shule maarufu za kata?
Ningemuheshimu sana na kumuona wa maana sana kwenye elimu.
Lakini kusema yeye amefanya kazi Umoja wa Mataifa so what? Yaani huko UN ni kama mbinguni kuko kusafi kabisa?
Na zile issues za procurement kwenye idara yake aliyokuwa anaongoza vile ziliishia vipi?
Ningemuheshimu sana na kumuona wa maana sana kwenye elimu.
Lakini kusema yeye amefanya kazi Umoja wa Mataifa so what? Yaani huko UN ni kama mbinguni kuko kusafi kabisa?
Na zile issues za procurement kwenye idara yake aliyokuwa anaongoza vile ziliishia vipi?