Nimekuwa nikifuatilia ujibuji wa hoja wa Professor juu ya wizara yake, lakini nimekuwa simuelewi kabisa (pamoja na kiswahili chake kibovu), amekuwa akitoka povu sana kwa maslahi ya wachache (CCM) na sio wanyonge (UKAWA)!
Ushauri kwake tafadhali!
![]()
Nimekuwa nikifuatilia ujibuji wa hoja wa Professor juu ya wizara yake, lakini nimekuwa simuelewi kabisa (pamoja na kiswahili chake kibovu), amekuwa akitoka povu sana kwa maslahi ya wachache (CCM) na sio wanyonge (UKAWA)!
Ushauri kwake tafadhali!
Muache mama yetu apumzike kazeeka mno ndio muda wa kuanza kupoteza kumbukumbu
Nasikia Muleba agombei tena
huyu mama kwanza angesafisha wizara yake na angefatilia ubadilishaji mbovu wa hati katika ofisi zake hapo ndio angeiweza wizara
Tatizo ukabila..kawapa ndugu zake viwanja bagamoyo tele