Je, Production costs katika viwanda hapa Tanzania zinatoa ushindani katika soko Africa Mashariki?
Je, bidhaa za Tanzania zinauzika Kenya au Uganda?
Mfano, Mafuta ya kupikia ya Sunola ya Singida Lita 3 Tanzania ni 13000 na Fresh Palm Oil ya Kenya ni 13500.
Tanzania kuelekea nchi ya viwanda inawezekana kwa gharama za Umeme hizi na utitiri wa Kodi?
Je, bidhaa za Tanzania zinauzika Kenya au Uganda?
Mfano, Mafuta ya kupikia ya Sunola ya Singida Lita 3 Tanzania ni 13000 na Fresh Palm Oil ya Kenya ni 13500.
Tanzania kuelekea nchi ya viwanda inawezekana kwa gharama za Umeme hizi na utitiri wa Kodi?