private number!

Mwanakili90

JF-Expert Member
Nov 24, 2010
1,568
245
jamani nimepgiwa cm na p.number,je kunauwezekano wa kumpgia huyu m2?kama kuna maujanja ya kumpgia naomba mnisaidie.
Natanguliza shukrani zangu.
 
kupitia simu yako ni vigumu kupata number ingawa kuna thread humu inaonyesha code ambayo ukiweka unaweza kuona number hata kama ni private (Binafsi sijawahi kutumia), Au unaweza kwenda katika moja ya ofisi inayokupatia huduma ya mawasiliano watakupatia number.
 
*#30#..number of caller will be shown next time akipiga,,ila simu za nje ya nchi sometimes haionyeshi'.....:phone:
 
ngoja niingilie mada kidogo, je naweza kupiga simu kwa private number? nipo na kamtandao ka bei chee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom