Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
jamani nimepgiwa cm na p.number,je kunauwezekano wa kumpgia huyu m2?kama kuna maujanja ya kumpgia naomba mnisaidie.
Natanguliza shukrani zangu.
Natanguliza shukrani zangu.
*#30#..number of caller will be shown next time akipiga,,ila simu za nje ya nchi sometimes haionyeshi'.....hone:
Haikubali, *#30#07842......... inasema namba unayopiga haipo
dial hii number peke yake..*#30#
angalia vizuri uzi ni wa 2011 hizo huduma siku hizi hakunamie nimejalibu mbn simu aiiti mkuu