TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,886
- 11,281
Are they really fighting for poor people or their tummies??
Binafsi nasikitishwa sana na jinsi primaries za CCM zilivyokwenda hasa ukizingatia kiasi cha pesa kilichotumika; on average at least 2 candidates katika kila jimbo la uchaguzi ametumia around 150M kwenye campaign tu, hapo sizungumzii majimbo tata ambapo kuna watu walifika hadi 500M [hapa nimekua very conservative]
Upande wa Dar pekee ilifikia average ya 300M na ni kwa at least candidates watatu kila jimbo... TOO MUCH MONEY CIRCULATED. in a nutshell one can predict matumizi ya around 150,000,000 x 200 [majimbo - just about] kama minimum money spent informally... that amount could double easily, na hii ni primaries tu!!!
I am keen to know how much M-Pesa, Z-pesa etc. wametengeneza in such a short time by just being conduits to the axis of evil, kwenye mabenki ndio usiseme, kuna agents na pia baadhi ya makatibu wa chama wa wilaya ambao leo ukichuku bank statements zao utacheka, yaani watu wa around laki tano kwa mwezi wamezungusha over 50M in just few weeks... to me these are the targets we need to focus on to expose the degree of kitu kidogo involved; check M-pesa, check z-pesa, check account etc, utajua how much "pesa chafu" circulated
Some of the potential candidates have lost hence left makatibu wakiwa fine and happy through losers sweat and blood
TAFAKARI, CHUKUA HATUA..... WAS IT FAIR?
Binafsi nasikitishwa sana na jinsi primaries za CCM zilivyokwenda hasa ukizingatia kiasi cha pesa kilichotumika; on average at least 2 candidates katika kila jimbo la uchaguzi ametumia around 150M kwenye campaign tu, hapo sizungumzii majimbo tata ambapo kuna watu walifika hadi 500M [hapa nimekua very conservative]
Upande wa Dar pekee ilifikia average ya 300M na ni kwa at least candidates watatu kila jimbo... TOO MUCH MONEY CIRCULATED. in a nutshell one can predict matumizi ya around 150,000,000 x 200 [majimbo - just about] kama minimum money spent informally... that amount could double easily, na hii ni primaries tu!!!
I am keen to know how much M-Pesa, Z-pesa etc. wametengeneza in such a short time by just being conduits to the axis of evil, kwenye mabenki ndio usiseme, kuna agents na pia baadhi ya makatibu wa chama wa wilaya ambao leo ukichuku bank statements zao utacheka, yaani watu wa around laki tano kwa mwezi wamezungusha over 50M in just few weeks... to me these are the targets we need to focus on to expose the degree of kitu kidogo involved; check M-pesa, check z-pesa, check account etc, utajua how much "pesa chafu" circulated
Some of the potential candidates have lost hence left makatibu wakiwa fine and happy through losers sweat and blood
TAFAKARI, CHUKUA HATUA..... WAS IT FAIR?