Pride ya Tanzania katika Afrika, nini kifanyike?

Magunga

Member
Apr 6, 2012
13
6
Ndugu wadau, nimekuwa nasafiri katika nchi nyingi za Afrika, nimegundua ile sifa ambayo Tanzania tulikuwanayo hasa hasa kwenye ukombozi wa Afrika na misimamo thabiti kwenye mambo ya kimataifa imepungua. Vilevile ukiongea na vijana wengi hapa Tanzania hawajui mchango wa nchi yetu katika ukombozi wa nchi kama Uganda, Angola, Msumbiji, Afrika ya kusini, seycheles etc. Ni muhimu historia hii ikatunzwa na kuelezewa kwa vizazi vyetu ili kurudisha ile pride ambayo watanzania tulikuwa nayo na vilevile kurudisha status yetu katika Afrika na Dunia. Nadhani hii pride ikirudi tunaweza kuitumia vizuri confidence hii katika nyanja zingine kama uchumi na siasa za kimataifa. Naomba michango yenu nini kifanyike maada hii social capital tuliyojenga ni kubwa sana na naamini bado tunaweza kuitumia vizuri hata sasa
 
How do you suggest we go about that? hatuna professionals!
vipindi vya watoto ndio vilikua presented na kina Lulu.
 
Ukombozi gani Uganda? The Ugandans were fine under Amin. Only Nyerere did not like him for personal reasons (his friend). He supported the rebels and Amin had to react like anyone would.
That's the most stupid war Tanzanians died for, and since, Tanzania has not recovered.
Go to Uganda today and ask who would they prefer Amin or Museveni? Ugandans can join in this. Please educate this Bongoman who seems to have swallowed his country's propaganda bait,line and sinker! (Or as they say)
 
Ukombozi gani Uganda? The Ugandans were fine under Amin. Only Nyerere did not like him for personal reasons (his friend). He supported the rebels and Amin had to react like anyone would.
That's the most stupid war Tanzanians died for, and since, Tanzania has not recovered.
Go to Uganda today and ask who would they prefer Amin or Museveni? Ugandans can join in this. Please educate this Bongoman who seems to have swallowed his country's propaganda bait,line and sinker! (Or as they say)

Wakenya wengine mawazo yao bwana! Mtu unakuwa na guts za kusema eti "The Ugandans were fine under Amin"!!! wewe unafikili dunia itakuelewa kweli kuhusu unfortunate remarks zako hizo? hebu kahazime DVD ya The last King of Scotland ndiyo utajuwa siyo kweli unaposema eti "The Ugandans were fine under Amin" na actually aliye andika script ya kanda hiyo ali-water-down sana ukatili wa Iddi Amini kwa RAIA wake.

Labda nikuhulize swali: Kwa nini jeshi lenu limehamua kuivamia Somalia-neseme eventually, jibu utakalo pata hapo nadhani hutakuwa na ubavu wa kuzungumzia mambo ya AMINI tena. Waganda hawana muda wa kulumbana na Watanzania kwa kuwa wanajuwa tulivyo wakomboa kutoka makucha ya nduli, nyinyi ndio wenye usongo na nchi yetu mnatumia social network yetu kwa malengo maalumu mnafikili hatuna akili, mbona Waganda awako hivyo! Wakenya wanakuwa na USONGO na nchi yetu as if TANZANIA iliwahi kuvamia Kenya vile, kwa nini?

Mimi nazaliwa mpakani mwa Uganda na TANZANIA najua kuzungumza Lunyankole, Luganda hata Kinyarwanda nakielewa - in short najuwa kilichokuwa kinaendelea wakati wa enzi za AMINI, wewe uwezi kutoka Kenya na kutupa somo kuhusu vita vya Uganda, mtu umekasilika as if Kenya ili-contribute chochote katika vita hiyo, kwani vita hivyo viliathili vipi uchumi wa nchi yenu; kuna makosa madogo madogo tuliyo fanya kwa mfano: hapakuwepo na haja ya kupigana mpaka kwenye mipaka ya SUDAN, au kuendelea kukaa Uganda unneccessarily!

Please soma mada inazungumzia nini, labda nikukumbushe inasema hivi:Pride ya Tanzania katika Afrika, nini kifanyike? tusijaribu ku-derail mada hapa. Mimi nakushauri kama huna cha kuchangia katika mada hii, please wachie wenye cha kuzungumza watujuze.
 
Wakenya wengine mawazo yao bwana! Mtu unakuwa na guts za kusema eti "The Ugandans were fine under Amin"!!! wewe unafikili dunia itakuelewa kweli kuhusu unfortunate remarks zako hizo? hebu kahazime DVD ya The last King of Scotland ndiyo utajuwa siyo kweli unaposema eti "The Ugandans were fine under Amin" na actually aliye andika script ya kanda hiyo ali-water-down sana ukatili wa Iddi Amini kwa RAIA wake.

Labda nikuhulize swali: Kwa nini jeshi lenu limehamua kuivamia Somalia-neseme eventually, jibu utakalo pata hapo nadhani hutakuwa na ubavu wa kuzungumzia mambo ya AMINI tena. Waganda hawana muda wa kulumbana na Watanzania kwa kuwa wanajuwa tulivyo wakomboa kutoka makucha ya nduli, nyinyi ndio wenye usongo na nchi yetu mnatumia social network yetu kwa malengo maalumu mnafikili hatuna akili, mbona Waganda awako hivyo! Wakenya wanakuwa na USONGO na nchi yetu as if TANZANIA iliwahi kuvamia Kenya vile, kwa nini?

Mimi nazaliwa mpakani mwa Uganda na TANZANIA najua kuzungumza Lunyankole, Luganda hata Kinyarwanda nakielewa - in short najuwa kilichokuwa kinaendelea wakati wa enzi za AMINI, wewe uwezi kutoka Kenya na kutupa somo kuhusu vita vya Uganda, mtu umekasilika as if Kenya ili-contribute chochote katika vita hiyo, kwani vita hivyo viliathili vipi uchumi wa nchi yenu; kuna makosa madogo madogo tuliyo fanya kwa mfano: hapakuwepo na haja ya kupigana mpaka kwenye mipaka ya SUDAN, au kuendelea kukaa Uganda unneccessarily!

Please soma mada inazungumzia nini, labda nikukumbushe inasema hivi:Pride ya Tanzania katika Afrika, nini kifanyike? tusijaribu ku-derail mada hapa. Mimi nakushauri kama huna cha kuchangia katika mada hii, please wachie wenye cha kuzungumza watujuze.

Nani alikuambia Sijali ni Mkenya, just take your time and read his previous posts? punguza jazba na chuki na ujibu swali ulivyoulizwa, si kukurupuka tu na witch hunting. Adui ya Tanzania si waKenya, ni nyinyi wenyewe, usiharibu nyuzi kwa chuki zako za kipuzi. Used to like your comments lakini tangia uje hapa International Forum, nimebadilisha mawazo yangu sana kukuhusu.
 
Nani alikuambia Sijali ni Mkenya, just take your time and read his previous posts? punguza jazba na chuki na ujibu swali ulivyoulizwa, si kukurupuka tu na witch hunting. Adui ya Tanzania si waKenya, ni nyinyi wenyewe, usiharibu nyuzi kwa chuki zako za kipuzi. Used to like your comments lakini tangia uje hapa International Forum, nimebadilisha mawazo yangu sana kukuhusu.

I agree with you.mbona chuki? Mtu hajajitangaza ati yeye ni mkenya.kwani kupunguka kwa sifa za tz ni makosa ya wakenya? unadhani Kenya kuna department of tarnishing Tanzanias name? some guys should clear prejudice and stick to the topic.
 
Ukombozi gani Uganda? The Ugandans were fine under Amin. Only Nyerere did not like him for personal reasons (his friend). He supported the rebels and Amin had to react like anyone would.
That's the most stupid war Tanzanians died for, and since, Tanzania has not recovered.
Go to Uganda today and ask who would they prefer Amin or Museveni? Ugandans can join in this. Please educate this Bongoman who seems to have swallowed his country's propaganda bait,line and sinker! (Or as they say)

Probably the stupidist post i have ever seen on this board, and i am not exaggerating.
 
Nani alikuambia Sijali ni Mkenya, just take your time and read his previous posts? punguza jazba na chuki na ujibu swali ulivyoulizwa, si kukurupuka tu na witch hunting. Adui ya Tanzania si waKenya, ni nyinyi wenyewe, usiharibu nyuzi kwa chuki zako za kipuzi. Used to like your comments lakini tangia uje hapa International Forum, nimebadilisha mawazo yangu sana kukuhusu.

Oh sorry Smatta, the author is a Ugandan - My sincere apologies for Kenyans. Please carry on reading my posts, 'am gonna amend spitting fire; wagambanao ndio wapatanao, hata ingekuwa wewe naona husingesita kuitetea nchi yako na the late mwalimu Nyerere.
 
Nani alikuambia Sijali ni Mkenya, just take your time and read his previous posts? punguza jazba na chuki na ujibu swali ulivyoulizwa, si kukurupuka tu na witch hunting. Adui ya Tanzania si waKenya, ni nyinyi wenyewe, usiharibu nyuzi kwa chuki zako za kipuzi. Used to like your comments lakini tangia uje hapa International Forum, nimebadilisha mawazo yangu sana kukuhusu.
Hiki ni kiswahili ama? hamna neno tangia sema tangu...
 
Back
Top Bottom