afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
- Thread starter
- #21
<br />embu chukua maamuzi magumu AD,tufafanulie kinagaubaga nini hasa kimetokea,kuna mtu kavuta mzigo jumla au?
<br />
Alaa,
Hivi kumbe bado umesimama
Nje wagonga... ufunguo u wapi
Jamani .. na ndani nikukaribishe...
Hivi bado hujanipata kweli?