I dont have no information about this very new relationship!Hongera zikufikie, kimwali kumtwaa
Wambea msiwasikie, nyumba na mitaa
Karaha msizishike, msingenyo kukataa
Hongera zikufiee, kimwali kumtwaa...
Kwa mbali msikike, mkipeta na ku ng'aa
Pamoja mshikike, kwa dhiki na rahaa
Wawili muhangaike, kulea na kuzaa
Hongera zikufike, kimwali kumtwaa..
Kazi zisikuzidie, nyumbani ukakaa
Kwa wema umsikie, usiwe ka kichaa
Ndugu muhudhurie, mfikapo mkaa
hongera zikufikie, kimwali kumtwaa
Wana JF tunapaa, na la kheri tunawapa
Msiwe kama mkaa, kutumiwa na kuchakaa
Pamoja mnang'aa, na sifaa mwazitwaa
Hongeara zikufike, kimwali kumtwaa..
I dont have no information about this very new relationship!
Kwanza sitoi kibali, lakini pia nitahakikisha haitokei! kitu!
Kama ni hivyo bora tu aende Kericho, huh huh!
Wapi MwitaMaranya, Wapi Sahara Voice!...mnaona kitu kama hiki then mnachekelea badala ya kukemea?
Ngoja tuhsakikishe tunawa'derail!..ha h aha haaaa!
Sasa mimi kaka mtu nipate taarifa magazetini jamani ?
duh, watu humu wako vere-vere
Kumbe ndio maana preta...... Ndio maaaana.....!!!
Dena....utapokea zawadi?
Huu ndo ushemeji wenyewe sasa lazima uwe mkali!!I dont have no information about this very new relationship!
Kwanza sitoi kibali, lakini pia nitahakikisha haitokei! kitu!
Kama ni hivyo bora tu aende Kericho, huh huh!
Wapi MwitaMaranya, Wapi Sahara Voice!...mnaona kitu kama hiki then mnachekelea badala ya kukemea?
Ngoja tuhsakikishe tunawa'derail!..ha h aha haaaa!
Mzima lakini wewe? sasa mbona siku hizi huniletei kesi bana!<br />
<br />
Dahhhhh
Hii inatisha..
<br />Mzima lakini wewe? sasa mbona siku hizi huniletei kesi bana!
Si unajua sisi mawakili hatuishi bila ya kesi?<br />
<br />
Hahahahaha lohhh
Mi mzima kabisa Kimey..
Ila umenichekesha maana
Kila tukikutana wataka KESI
Au matatizo tu hahahaha
Siku hizi na taarifa nzuri tu..
Vipi lakini ....
Mzima?
<br />Ha ha ha aisee umejuaje napenda hiyo kitu duh niko tayari kwa 100%
<br /><font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">nilijua tu wale wapingamizi wa ndoa za watu hawatakosekana......ndio hawa sasa....</span></font></font>
<br /><font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">halafu wewe na shosti nawategemea kwenye kitchen party mjue........<br />
</span></font></font>