my dear......this is not a joke.......missed you though.....
wewe huna haja ya kupewa kadi.......njoo tu......
utakuja.....?
Dena....utapokea zawadi?
na wewe ukuje.....habari yako binafsi.......
<br />Dah! imekula kwangu aisee! Whyy Preta? Kwanini lakini? au kwasababu sikukununulia jenereta kipindi cha mgao? naomba unilejeshee kinokia tochi changu nilichokuletea zawadi kipindi cha uchumba hewa wetu. <br />
<br />
na wewe AD sitoquote post zako kwa muda wa wiki 2 , hii ni azabu yako ya kuanzisha hili sredi.<br />
<br />
mkiona sijibu posts mjue nimezimia.
Dah! imekula kwangu aisee! Whyy Preta? Kwanini lakini? au kwasababu sikukununulia jenereta kipindi cha mgao? naomba unilejeshee kinokia tochi changu nilichokuletea zawadi kipindi cha uchumba hewa wetu.
na wewe AD sitoquote post zako kwa muda wa wiki 2 , hii ni azabu yako ya kuanzisha hili sredi.
mkiona sijibu posts mjue nimezimia.
Preta nime kumiss ujue!
<br /><font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">habari yake banaaa........chagua....adhabu zako unaanza kuzitumikia lini?.....siwezi kukukataza na wewe ukakaidi....no no no</span></font></font>
Hapo nimepita taarifa za juujuu hizo, angalia PJ usiharibu starehe za watu. Members wengine wako wapi, kina Mzee wa Rula, Nanyaro,Sahara Voice vipi, imwekaaje hii kwenye mipango yetu ya JF, au ni vuvuzela tuu!!!!!!!!!!!! Kwa heri!!!!!!!!Hongera zikufikie, kimwali kumtwaa
Wambea msiwasikie, nyumba na mitaa
Karaha msizishike, msingenyo kukataa
Hongera zikufiee, kimwali kumtwaa...
Kwa mbali msikike, mkipeta na ku ng'aa
Pamoja mshikike, kwa dhiki na rahaa
Wawili muhangaike, kulea na kuzaa
Hongera zikufike, kimwali kumtwaa..
Kazi zisikuzidie, nyumbani ukakaa
Kwa wema umsikie, usiwe ka kichaa
Ndugu muhudhurie, mfikapo mkaa
hongera zikufikie, kimwali kumtwaa
Wana JF tunapaa, na la kheri tunawapa
Msiwe kama mkaa, kutumiwa na kuchakaa
Pamoja mnang'aa, na sifaa mwazitwaa
Hongeara zikufike, kimwali kumtwaa..
<br />
<br />
Hahahahahaha lohhhh
wewe
Kwanza umepote ka shilingi ya Nyerere..
Pili..
Hasira za nini weee kakaaaa
Watakaaa kuniua buree kakaa
Yule si wangu na mi si wakooo
Chuki ya nini kati yangu mimi na wewee
Nasema sinaaaa makosaaa
Wataka kuniuaaaa bureee
Sinaaa makosaaa weee kaakaa..
Jemsi Dandu...
Nokia sirudishi......kwani uchumba hewa ulikuwa wa bure?....he he he.....imekula kwako
Hongera zikufikie, kimwali kumtwaa
Wambea msiwasikie, nyumba na mitaa
Karaha msizishike, msingenyo kukataa
Hongera zikufiee, kimwali kumtwaa...
Kwa mbali msikike, mkipeta na ku ng'aa
Pamoja mshikike, kwa dhiki na rahaa
Wawili muhangaike, kulea na kuzaa
Hongera zikufike, kimwali kumtwaa..
Kazi zisikuzidie, nyumbani ukakaa
Kwa wema umsikie, usiwe ka kichaa
Ndugu muhudhurie, mfikapo mkaa
hongera zikufikie, kimwali kumtwaa
Wana JF tunapaa, na la kheri tunawapa
Msiwe kama mkaa, kutumiwa na kuchakaa
Pamoja mnang'aa, na sifaa mwazitwaa
Hongeara zikufike, kimwali kumtwaa..
<br />Nimefulia dada! halaf jirani yangu ambae natumia laptop yake kuingilia JF kahama kitaa. <br />
<br />
bek to ze topik: wewe imba imba tu, nina mpango wa kuroga kila aliehusika katika hii mission, kesho ukiona uso wako unauma kama husninyo basi ujue mzee mzima niko hewani.<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
hehehehe wewe chimba mkwala lakini ujue kwamba kesho El toro namgeuza bendera ya CCM, (msisitizo: faza wangu wa kambo anaishi sumbawanga) . adhawaizi lejesheni nokia yangu
<br /><span style="font-family: comic sans ms"><i><b>Mwezi Mtukufu huu!! hapo kwenye red ni "Muthwa" kwa ajili ya kupika futari au jumla?? kwa wasiojua "Muthwa" Ustaathat FF can help!</b></i></span>
<br /><font color="#0000ff"><font size="3"><b>Hapo nimepita taarifa za juujuu hizo, angalia PJ usiharibu starehe za watu. Members wengine wako wapi, kina Mzee wa Rula, Nanyaro,Sahara Voice vipi, imwekaaje hii kwenye mipango yetu ya JF, au ni vuvuzela tuu!!!!!!!!!!!! Kwa heri!!!!!!!!</b></font></font>
my dear......this is not a joke.......missed you though.....