Press conference: Lowassa apelekewa ujumbe mzito

Mungu alishakataza ufisadi katika Ardhi. Iweje Mungu huyo huyo amteua fisadi kuwa Rais wa nchi?



Bila shaka hijui fomula ya Mungu kwa watawala .

Lowasa ni Kiongozi aliyejenga madhebahu ya Mungu ilyobomolewa na Nyerere.
Amini usiamini katika ulimwengu wa Roho Nyerere alikosea sana kutaifisha mali za makanisa na mali za waislam.
Alipaswa ajenge zake.
Mali ikishawekwa wakfu kwa Mungu haipaswi kuchukuliwa tena na mwanadam juwa liwake au lizime.

Nchi ikajawa na laana ya umaskini.
Mkapa akalitambua hilo akazirejesha baadhi kwenye madhebahu ya Mungu.
Lowasa amelitambua kama wakili wa fedha mwenye hekima .Anaambiwa anahonga pesa kwenye makanisa na misikiti .Hii ni laana wanayotaka kuiendeleza baadha ya watu dhaifu ndani ya Serikali.Tangu lini sadaka ikaitwa rushwa.Eti mtu anatoa sadaka wazi kabisa mbele ya kamera kwa ajili ya kujenga redio ya waislam au shule ya wananchi inayosimamiwa na kanisa halafua anaambiwa eti amehonga kanisa.
Leo Lowasa anasimama mbele za Mungu kurejeshea makanisa na misikiti mali zao zilizoporwa na mwalimu Nyerere.

Hivi unajua hata misaada aliyokua anatoa Gadafi kwa waislam na waafrika kwa ujumla ilikua inapigwa vita na baadhi ya viongozi dhaifu wa Afrika wenyewe na mataifa ya ulaya kwa njama za kutufanya tuendelee kuwa maskini na tegemezi kwao.

Mtu na akili zake anashabikia Mh.Lowasa kutukanwa na kudhalilishwa na watoto wadogo ambao hata utawala wa Mkapa walikua bado hawajaota meno.
Mtu anamtukana Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya ulinzi na usalama na mambo ya nje.Mtu aliyewahikuchaguliwa kuwa waziri mpaka kuwa waziri mkuu.
Kwa hili rais ambaye ni mwenyekiti wa CCM achukue hatua au kemee kwa sababu hata yeye ametukanwa kwa kuwa akimchagua mtu asiyefaa kuwa hata kuwa balozi wa nyumba kumi(kama wanavyodai hawa wapiga kampeni wa mizimu iliyojificha mapangoni) kuwa waziri mkuu wa nchi.
Nape naye ajitokeze aunge mkono hoja hiyo kama ni hoja ya chama ya kumwita Lowasa Mwizi na fisadi.Kama sio hoja ya chama ajitokeze akemee huu utovu wa nidhamu kwa mbunge wa Monduli na kada aliyekijenga chama tangu ujana wake.
 
Na huo ndiyo ukweli. Wew kama mimi, mie siyo CCM wala CDM au UKAWA at all. Ila napenda FACTS na kusimamia ukweli na weledi. Kiukweli pamoja na mapungufu ya EL, ila ni afadhali mara 100 kuliko yeyote yule wa CCM. Huo ndiyo ukweli. Itakuwa ni makosa makubwa kama hatutachagua mtu ambaye anatake action promptly, na kiukweli watu hao kwa haraka ni Dr Slaa au EL. Sipepesi macho katika hilo. Tunapaswa kuangalia hali ilivyo Tanzania, na tukikosea itatugharim sana tena sana. Mark my words. Hao wengine ni watu wazuri ila inapokuja suala la maamuzi nao wataishia kulia lia badala ya kuamua
Lowasa ni mwizi na ccm ni wezi.kuendelea kuifikiria ccm (mtambo wakuzalisha na kulea ufisadi)ni kuendelea kuisaliti nchi yetu
 
Nyie ccm ni chama la wanafiki,kama mlijua ni mwizi na fisadi mbona hamjawahi kumshitaki wala kumwambia alete hati miliki za malizake zote na kumfanyia upekuzi kama mnavyotaka kumfanyia Gwajima? Ni muda wa kufa huu lazima mrushe miguu kabla ya kukata roho

Ccm inaelekea kufa
 
Ndani ya ccm ajitokeze mtu aseme mimi ni msafi hata siku hawezi simama sema tunatumiwa vijana kutukana watu tu
 
sisi kina gogo la shamba tunaona hakuna anayefaa kugombea kutoka ccm,maana viongozi wote wa ccm wanakigugumizi cha kusema linapokuja suala la Escrow na escrow ndio kipimo cha kumpata mgombea kwa sasa
 
Lowasa siyo msafi ila kuna watu wanamwogopa atakuja ku-revenge

Kutokana na hali halisi ilivyo..lowassa..anastahili kuwa rais wa nchi hii..ili asafishe uozo uliopo..asilinde hawa wajinga ambao hv sasa wanajiona ni wafalme na watoto wao ni ma prince!..hata itakuwa ni kwa kulipiza kisasi afanye hivyo..ili kuondoa hawa wajinga na wafuasi wao!
 
Bwana Hoza sasa tumchague nani anayefaa mkuu?

membe ana cheap politcs sana kama amefkia hatua hii ameshakata tamaa lowasa nI muziki mwngne...amuombee udc na huyu kama makonda ila mda ukfka tutawanyoosha....Ma Presdent is Lowassa God bless Him. ..

Julius Malema Jr
 
Huyu mpumbavu uharo wake apeleke kule yeye mamlaka ya kumtukana lowassa anatoa wapi hajui lowasa ni wazri mkuu mstaafu na ana mamlaka zaid ya huyo membe na nape wanaomtuma....team membe inatapatapa ata mgonjwa akkarbia kufa huwa anatapatapa
 
Kuna mengine hadi nimecheka kipindi nasoma, hilo la kubomoa gorofa penusula bahari ya hindi ambalo na yeye kajenga pia eti sababu lilizuia yeye asipate upepo mwanana. kama ni kweli basi hii nchi kweli ccm wanafaidi. Sasa kama ni kosa kwa nini hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa au kuwepo kesi? zaidi ya haya malalamiko ya Hoza.

sasa kama nyie makada mwalalamika, nani aje kubadilisha hali ya hewa?
 
Bila shaka hijui fomula ya Mungu kwa watawala .

Lowasa ni Kiongozi aliyejenga madhebahu ya Mungu ilyobomolewa na Nyerere.
Amini usiamini katika ulimwengu wa Roho Nyerere alikosea sana kutaifisha mali za makanisa na mali za waislam.
Alipaswa ajenge zake.
Mali ikishawekwa wakfu kwa Mungu haipaswi kuchukuliwa tena na mwanadam juwa liwake au lizime.

Nchi ikajawa na laana ya umaskini.
Mkapa akalitambua hilo akazirejesha baadhi kwenye madhebahu ya Mungu.
Lowasa amelitambua kama wakili wa fedha mwenye hekima .Anaambiwa anahonga pesa kwenye makanisa na misikiti .Hii ni laana wanayotaka kuiendeleza baadha ya watu dhaifu ndani ya Serikali.Tangu lini sadaka ikaitwa rushwa.Eti mtu anatoa sadaka wazi kabisa mbele ya kamera kwa ajili ya kujenga redio ya waislam au shule ya wananchi inayosimamiwa na kanisa halafua anaambiwa eti amehonga kanisa.
Leo Lowasa anasimama mbele za Mungu kurejeshea makanisa na misikiti mali zao zilizoporwa na mwalimu Nyerere.

Hivi unajua hata misaada aliyokua anatoa Gadafi kwa waislam na waafrika kwa ujumla ilikua inapigwa vita na baadhi ya viongozi dhaifu wa Afrika wenyewe na mataifa ya ulaya kwa njama za kutufanya tuendelee kuwa maskini na tegemezi kwao.

Mtu na akili zake anashabikia Mh.Lowasa kutukanwa na kudhalilishwa na watoto wadogo ambao hata utawala wa Mkapa walikua bado hawajaota meno.
Mtu anamtukana Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya ulinzi na usalama na mambo ya nje.Mtu aliyewahikuchaguliwa kuwa waziri mpaka kuwa waziri mkuu.
Kwa hili rais ambaye ni mwenyekiti wa CCM achukue hatua au kemee kwa sababu hata yeye ametukanwa kwa kuwa akimchagua mtu asiyefaa kuwa hata kuwa balozi wa nyumba kumi(kama wanavyodai hawa wapiga kampeni wa mizimu iliyojificha mapangoni) kuwa waziri mkuu wa nchi.
Nape naye ajitokeze aunge mkono hoja hiyo kama ni hoja ya chama ya kumwita Lowasa Mwizi na fisadi.Kama sio hoja ya chama ajitokeze akemee huu utovu wa nidhamu kwa mbunge wa Monduli na kada aliyekijenga chama tangu ujana wake.

Mkuu nakubaliana na wewe 90% kuhusu tabia mbaya iliyozuka ya vijana ambao ni viongozi kutukana viongozi wa kitaifa hili halikubaliki na nina wasiwasi hawa vijana ni vipasa sauti tu lakini mwongeaji yupo chumbani. Leo kwa lowassa lakini ikifika November inahamia kwa JK na wengineo. In short mwenyekiti anahusika hivyo achague moja kukemea au kuungana na hao vijana ili tujue moja.

10% ninayopingana na wewe ni la kumlaumu nyerere, kwanza nadeclare interest huwa sitaki kusikia huyu mzee akisemwa vibaya kwasababu zifuatazo;

1. Hatupo nae kwa hiyo hawezi kusimama kulitolea ufafanuzi jambo lolote linalomhusu.

2. Kumlaumu yeye ni sawa na kulaumu ukoloni baada ya 50 years ya uhuru which is inapplicable.

3. Kabla hajafariki alisimama hadharani na kutaja baadhi ya maamuzi yake ambayo hayakuwa sahihi na kuomba radhi wananchi likiwemo la utaifishaji.

4. Nyerere alikuwa socialist kwa hiyo kunyanganya mali za makanisa/misikiti ambayo yalikuwa yanafadhiliwa na mabepari ilikuwa sehemu tu ya utekelezaji wa siasa ya ujamaa. Hakuna laana yoyote maana hakutumia kwa maslahi yake binafsi bali taifa.

Asante.
 
Tunasubiri Filimbi tuanze chenga
15930_10203351654422057_668402864339012229_n.jpg
 
Ukisikia kuweweseka ndiyo huku. Siku hizi kila kada anaita waandishi wa habari kwa ajili ya 'press conference'. Naona huyu dogo kakamata mikoba ya Makonda. Ila ikatokea Lowassa akakwaa ofisi ya juu ya nchi sijui hawa jamaa watajificha wapi!
 
Back
Top Bottom