Press conference: Lowassa apelekewa ujumbe mzito

Press conference: Lowassa apelekewa ujumbe mzito

I conquer with you


You see, i told ur kimavi....CONQUER...!!? omg....!!!

Who the hell you are...!!? CONCUR....u thought conquer...kilaza wa vilaza ww....!!! Purely shuleless...!!!
 
Stupid..anayefikiri kwamba anaweza kupunguza "influence" ya lowasa kwa njia hii anaakili kama za Nape. Stupid
 
ww rectum, unajua hata kushika pistol tu, cause u think using ur used rectum....fck up...!!! Hv u even seen bullet ?? Kimavi wa tandale ww...

Khaaaa! mnadhalilishana kwa sababu ya Lowasa? Nijuavyo Mwezi Oktoba watanganyika na wazanzibar wenye sifa tutapiga kura kumchagua Rais wa JMT. Si lazima mtu huyo awe Lowasa.
 
ni mwanachama ambaye kamtaja mwizi namba 1 kwenye chama ingawa naye nadhani ni mwizi tu kwani kama baba zake wezi yeye anakuwaje msafi
 
Khaaaa! mnadhalilishana kwa sababu ya Lowasa? Nijuavyo Mwezi Oktoba watanganyika na wazanzibar wenye sifa tutapiga kura kumchagua Rais wa JMT. Si lazima mtu huyo awe Lowasa.

Huo ndio uzuri wa kuelimika...! I do concur with you!
 
ccm hamumuwezi laigwanan,jaribuni kumtosa muone!!!!! Mkimtosa anaenda ACT na kuivunja ccm.
 
Nitashangaa kama Nape atakaa kimya bila kutoa tamko kwa huyu kijana aliyeanza kampeni tena mbele ya vyombo vya habari.
Makonda alifanya kampeni lakini hakuchukuliwa hatua yoyote badala yake akapandishwa cheo.
Hii CCM inatuonyesha jinsi inavyoshindwa kusimamia haki kwa watanzania .Kama haki ya mtu aliyewahi kuwa waziri mkuu na akapwa kila aina ya sifa ya uchapa kazi hatendewi haki ndani ya nchi itakuwaje kwa wanyonge wa kawaida wanapogandamizwa na kundi la wateule na familia zao?

Wakati huu wa uchaguzi kusimama na kusema kuwa Fulani musimchague hiyo pia ni kampeni .Tunamuomba Nape azungumzie hili.Akishindwa ni bora wanachama wa CCM wamwombe rais amtoe Nape kwenye nafasi hiyo kwani hatendi haki.Yupo kwa ajili ya kujenga makundi kwa maslahi yake.
 
Khaaaa! mnadhalilishana kwa sababu ya Lowasa? Nijuavyo Mwezi Oktoba watanganyika na wazanzibar wenye sifa tutapiga kura kumchagua Rais wa JMT. Si lazima mtu huyo awe Lowasa.



Ur very very right....is up to citizens to decide, it can be anyone, not necessarily Lowassa....what we deeply and strictly oppose, KUMCHAFUA LOWASSA KWA KUTUMWA NA MGOMBEA MWINGINE....THIS IS VERY WRONG...kosa kubwa....au Lowassa aibuke aanze kumchafua mgombea mwingine wa URAIS kwa kashfa za hovyo hovyo hv...though Lowassa hajawahi msema mtu, he remained cool minded all the time...so some few puppet like Hoza kaoza anatumika kinyume na maumbile kumchafua EL...why...!? and some few dark tigo here support this nosense...!!! Kila mtu auze SERA ZAKE....sio kutumia attacks kwa Lowassa kwa kutumwa na mgombea mwingine.... tht is immoral..!!! Hata CCM cjaona hii, inatakiwa Mwenyekiti ccm akemee hii tabia...!!!
 
Hakuna haja ya kutukanana humu. Ni muhimu kumjibu mleta mada kwa hoja. Ningependa mleta mada aweke ushahidi kuthibitisha anayosema.

Hii ndio elimu inayohitajika, watu wajibu hoja kwa hoja na sio matusi...! Wengine tumeelimishwa na tumeelika, sidhani hata huyo El kawatuma hii team yake ijibu tuhuma zake kwa matusi...!
 
Huo ndio uzuri wa kuelimika...! I do concur with you!


U stick "kuelimika" kuelimika....do you know its meaning in real life...!!? Hata maana ya maneno tu hujui...hujui kuandika...ww umeelimika..!!? Stop being used up, i knew u don't hv ur common sense, tht is the reason ur being used, then they will dump you like always...!!!

Unajua #kuelimika ww..!! monitor lizard.¿¿¡¡
 
Ur very very right....is up to citizens to decide, it can be anyone, not necessarily Lowassa....what we deeply and strictly oppose, KUMCHAFUA LOWASSA KWA KUTUMWA NA MGOMBEA MWINGINE....THIS IS VERY WRONG...kosa kubwa....au Lowassa aibuke aanze kumchafua mgombea mwingine wa URAIS kwa kashfa za hovyo hovyo hv...though Lowassa hajawahi msema mtu, he remained cool minded all the time...so some few puppet like Hoza kaoza anatumika kinyume na maumbile kumchafua EL...why...!? and some few dark tigo here support this nosense...!!! Kila mtu auze SERA ZAKE....sio kutumia attacks kwa Lowassa kwa kutumwa na mgombea mwingine.... tht is immoral..!!! Hata CCM cjaona hii, inatakiwa Mwenyekiti ccm akemee hii tabia...!!!

Ni vema ukajua kujibu tuhuma zinazomhusu El kwa hoja na siyo kwa matusi hata kama tuhuma hizo sio za kweli...na usipende kuingiza masuala ya wazazi katika masuala ambayo hata wazazi hawahusiki...! Anyway nashukuru kwa matusi yako, mimi namuachia Mungu, Elimu yangu ya kilaza niliyonayo nashukuru imenifanya nistaarabike...!
 
Huyu Comrade Hoza ameivua nguo CCM na Serikali yake. Kwani wakati Lowassa anafanya hayo, CCM na Serikali yake walikuwa wapi na wanafanya nini?

Vv
 
Back
Top Bottom