Hatuwezi kukubali kuanguka jukwaani ni sawasawa simply because na mwingine aliwahi kuanguka. Mmoja alidai alianguka kwa kuwa swaumu ilikaza. Je, huyu mwingine ni jukwaa lilikuwa bovu au alikuwa anaumwa? Jamani siuo jambo la kawaida rais wa nchi kuanguka jukwaani hata kama alikuwa anashuka. Akiwa simba au chui umri ukifika aachie ngazi. Sasa inawezekana ndo anaanza mchakato wa kufa akiwa madarakani cause hatujui kaumia kiasi gani. Kumbe angekuwa amwachana na madaraka asingekuwa analazimika kupanda kwenye majukwaa. Iwe ni fundisho kwa ving'ang'anizi wa madaraka.