Ni aibu kwa viongozi wa Africa kung'ang'ania madaraka, ni hivi punde tu Rais wa Zimbabwe ameanguka ktk ngazi za jukwaa akiwa anashuka, amekuwa akiiongoza nchi ya Zimbambwe tangu 1980 hadi sasa, Reported by Aljazeera
wewe magita kuteleza na kuanguka sio uzee ni ajali hata wewe unaweza kuteleza saizi itakuwa ni uzee? ktk viongozi waliobaki afrika wenye msimamo ni komredi MUGABE tu.wengine wote waliobaki wananunulika kwa wazungu