ngilenengo1
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,275
- 605
Pole Rais Mugabe. Uzee ni dawa
Mzee kweli amechoka, hata mzee wetu EL tukijuza atakuwa kama huyo EM kwa sababu umri alionao ni wa kumalizia urais siyo wa kuanza urais
Kweli kabisa, huyu mzee sasa amefikia kikomo.Amezeeka sasa angewaachia vijana madaraka halafu yy abaki kama mshauri tu.