Pres. Mugabe falls down steps, photographers forced to delete images

Pres. Mugabe falls down steps, photographers forced to delete images

Hata wenyewe wamemshiba mbona wanaangalia tu, hata hawamdaki!
 
Hawa jamaa wanaovaaga miwani yao myeusi , suti za kisasa , na kunyoa minyoo ya kiusalama eti wakilinda viongozi wakubwa wa nchi kama Rais wa nchi ,ukiwaangalia kwa umakini unaweza dhani ni watu makini who are "thinking out of the box", hatari na "pro-active" lakini kumbe ni bure kabisa. Tena wanajifanyaga wan ning'inia hadi kwenye milango ya gari la mkulu wa kaya, kumbe wana mbwela mbwela.

Hebu shuhudia jinsi walivyoshindwa ku rescue Rais Robert Mugabe Mugabe akianguka chini kutoka kwenye ngazi ....
Je, kiusalama matharani lingekuwa ni shambulizi la kutaka kumuua rais unadhani wangekuwa msaada wowote kwa mkulu wa kaya Mugabe...? Kuanzia leo nimewatoa nyota zote hawa jamaa....tena kama hawa wa kwetu na vitambi vyao kumbe mikwara tu na ni wazito kama magunia ya viazi vya njombe.
 

Attachments

  • mgb1.jpg
    mgb1.jpg
    69 KB · Views: 566
  • mgb2.jpg
    mgb2.jpg
    72.7 KB · Views: 545
  • mgb3.jpg
    mgb3.jpg
    31.6 KB · Views: 528
  • mgb5.jpg
    mgb5.jpg
    35 KB · Views: 517
Mzee kweli amechoka, hata mzee wetu EL tukijuza atakuwa kama huyo EM kwa sababu umri alionao ni wa kumalizia urais siyo wa kuanza urais
 
Hawa jamaa wanaovaaga miwani yao myeusi , suti za kisasa , na kunyoa minyoo ya kiusalama eti wakilinda viongozi wakubwa wa nchi kama Rais wa nchi ,ukiwaangalia kwa umakini unaweza dhani ni watu makini who are "thinking out of the box", hatari na "pro-active" lakini kumbe ni bure kabisa. Tena wanajifanyaga wan ning'inia hadi kwenye milango ya gari la mkulu wa kaya, kumbe wana mbwela mbwela.

Hebu shuhudia jinsi walivyoshindwa ku rescue Rais Robert Mugabe Mugabe akianguka chini kutoka kwenye ngazi ....
Je, kiusalama matharani lingekuwa ni shambulizi la kutaka kumuua rais unadhani wangekuwa msaada wowote kwa mkulu wa kaya Mugabe...? Kuanzia leo nimewatoa nyota zote hawa jamaa....tena kama hawa wa kwetu na vitambi vyao kumbe mikwara tu na ni wazito kama magunia ya viazi vya njombe.


Asante kwa kuleta hii hoja. Mkuu kwa wengine siye-hapo kuna sabotage dhidi ya Usalama wa Raisi.Chunguza hizo picha vizuri utaona kulikuwa na dhihaki kubwa kwa Raisi Mugambe toka kwa wanausalama na baadhi ya Maofisa wa Ikulu. Alipofikisha magoti chini eti ndiyo wanajifanya kumsaidia-natumai raisi atakuwana na back up ya washauri kuipitia movi hiyo na kumshauri kuchukua hatua ya kinidhamu na kiusalama.
 
Picha inaonyesha alikuwa anacheza kiduku
 
Pride comes before a fall? Zimbabwe's Robert Mugabe, 90, falls down podium steps after being greeted by his adoring supporters


  • Zimbabwe's president tripped as he walked down steps at the airport
  • Mugabe, new chairman of the African Union, was returning from Ethiopia
  • The leader, in power since 1987, had been greeted by adoring supporters
  • Mugabe whisked away in waiting limousine after the accident
  • Photographers who captured the fall asked to delete pictures, it is claimed

Zimbabwe's Robert Mugabe has been pictured falling down a set of steps after addressing his adoring supporters at an airport.
The 90-year-old President - who has held the position since 1987 - took a tumble as he walked down some steps from a podium where he had been addressing his adoring supporters
He had been talking to the crowd at Harare International Airport, who had gathered to welcome Mugabe back from a trip to Ethiopia - where he had been elected chairman of the 54-state African Nation.
He claimed 'no African country' had opposed Zimbabwe's elevation to lead the organisation.
Scroll down for video
2555C57600000578-0-image-a-14_1423081153187.jpg



Zimbabwe's president Robert Mugabe, 91, tripped as he came down some podium stairs at the airport

2555C1E100000578-0-image-a-17_1423081861263.jpg



He had been addressing his adoring supporters on his return from an African Union meeting in Ethiopia, where he became the 54-nation organisation's chairman

However, when you are keeping quite as firm a grasp on power as Mugabe, it doesn't do to show any sign of weakness.
As a result, some press photographers who captured the fall are claiming they were forced to delete their pictures by security personnel.
Mugabe’s spokesman was not immediately available for comment.



It is understood the President - who has overseen his once-prosperous nation's steep decline since starting to seize white-owned farms in 2000 - was helped up quickly by aides, before being whisked away in his waiting limousine.
He had been welcomed to the airport by cheering supporters, who held placards aloft - one of which said 'Your greatness resonates across Africa and beyond'.
But this is a far from widespread sentiment.
2555C1D700000578-0-image-a-15_1423081838258.jpg



Photographers who caught the accident claim they were asked to delete their pictures by security personnel

I'm a storyteller says Mugabe in eccentric address (Archive)
 
kwa jinsi inavyoonekana kama kuna protocal ya kutomgusa vile, mzee anahangaika wao wanamwangalia tu? kama iyo protocol hamna wale hawawez kazi na imewashinda ila hapa kwetu kwa siku izi ccm imewaharib wazee wa kazi wanawaza kuvuta mkwanja tu na kupambana na chadema hayo ndio kaz wanayofanya mana kikwete alishaanguka kukwaa je uliona mtu aliyejitolea mwili wake asianguke chini badala yake aanguke juu yake? imeshatokea mkuu hapa kwetu.
 
El bado sana ki umri siyo sawa na mugabe, tuna imani akipewa miaka 10 atagonga bila shida na kusafisha uoza wote.
 
Mzee kweli amechoka, hata mzee wetu EL tukijuza atakuwa kama huyo EM kwa sababu umri alionao ni wa kumalizia urais siyo wa kuanza urais

Mzee kweli amechoka, hata mzee wetu EL tukijuza atakuwa kama huyo EM kwa sababu umri alionao ni wa kumalizia urais siyo wa kuanza urais
Mkuu kama kweli unajua mtu mwenye umri mkubwa almost miaka 91 kuwa imara kama alivyo mkuu R. Mugabe hakika huwezi kusema kuwa kachoka, hebu vuta hisia kama za kina mzee wetu mzee Ruksa na Mugabe , bado wako imara na ngangali kabisa, sipati picha mkulu wa kaya na EL wakifika umri huo wa kina mugabe afya yake itakuwaje,

Asante kwa kuleta hii hoja. Mkuu kwa wengine siye-hapo kuna sabotage dhidi ya Usalama wa Raisi.Chunguza hizo picha vizuri utaona kulikuwa na dhihaki kubwa kwa Raisi Mugambe toka kwa wanausalama na baadhi ya Maofisa wa Ikulu. Alipofikisha magoti chini eti ndiyo wanajifanya kumsaidia-natumai raisi atakuwana na back up ya washauri kuipitia movi hiyo na kumshauri kuchukua hatua ya kinidhamu na kiusalama.
Yaani hapo ingekuwa nchi kama Mrekani ungeshasikia mkuu wa kikos cha usalama wa kumlinda Rais amejiuzuru kwa kushindwa kutimiza majukumu yake, lakini ki Afrika Afrika watachukukulia poa tu na maisha kusonga mbele kama kawa.

kwa jinsi inavyoonekana kama kuna protocal ya kutomgusa vile, mzee anahangaika wao wanamwangalia tu? kama iyo protocol hamna wale hawawez kazi na imewashinda ila hapa kwetu kwa siku izi ccm imewaharib wazee wa kazi wanawaza kuvuta mkwanja tu na kupambana na chadema hayo ndio kaz wanayofanya mana kikwete alishaanguka kukwaa je uliona mtu aliyejitolea mwili wake asianguke chini badala yake aanguke juu yake? imeshatokea mkuu hapa kwetu.
kweli kabisa mkuu ...wanalipwa pesa nyingi kumbe hamna kitu, yaani hao Per D.M yao ilibidi wasipewe kabisa kwa kuleta uzembe na uzururaji kazini.
 
kwa jinsi inavyoonekana kama kuna protocal ya kutomgusa vile, mzee anahangaika wao wanamwangalia tu? kama iyo protocol hamna wale hawawez kazi na imewashinda ila hapa kwetu kwa siku izi ccm imewaharib wazee wa kazi wanawaza kuvuta mkwanja tu na kupambana na chadema hayo ndio kaz wanayofanya mana kikwete alishaanguka kukwaa je uliona mtu aliyejitolea mwili wake asianguke chini badala yake aanguke juu yake? imeshatokea mkuu hapa kwetu.

Wapi pale viwanja vya jangwani?
 
Huyu Mzee yupo fit sana kushinda watu wengi sana. Anaenda gym kila siku na yupo makini sana na anachokula
 
hata ankali wetu naye alibinuka kama robota la pamba pale jangwani...
 
Hawa wavaa miwaniwetu ni mambo ya kuiga tu,toka kwa wale wa ukweli toka kwa Obama.
Kazi yao kubwa ni kuuza sura tu.
 
Back
Top Bottom