gody_emily_mahenge
Member
- Sep 2, 2016
- 59
- 21
Kama Pesa ipo chukua Nissan fuga gari LA Pesa nyingi acha ubahili wa mafuta na bei
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
blaza fanya kumjibu jamaa kama unafahamu sio kuongelea vitu usivyo na uhakika navyo.
Mkuu unazidi kunichanganya, tofauti ipo Premio cc1700 na zaidi wakati Allion ni cc1500.Nyie watu bana nini kisababishe utofauti wa unywaj mafuta premio na allion ilihali kila k2 ni sawa?
Mkuu unazidi kunichanganya, tofauti ipo Premio cc1700 na zaidi wakati Allion ni cc1500.
Ahsante sana mkuu. Kwa hivyo kwa maoni yako jamaa anunue ipi kwa vigezo vipi?Mkuu premio toleo la kati na allion zote zina engine zinazofanana, zipo zenye engine za 1NZ-FE cc 1496 kwa allion na premio, pia zipo za engine za 1ZZ cc 1798 zote allion na premio pia zipo za engine za 1-AZ cc 1998 zote allion na premio. Tofauti ya hzo gari mbili ni body shape tu lakin engine na ulaji wa mafuta zinafanana kila kitu gari zote mbele nishawahi kuendesha na nina uzoefu nazo
Ahsante sana mkuu. Kwa hivyo kwa maoni yako jamaa anunue ipi kwa vigezo vipi?
Allipn A15 in cc 1500, alion A18 ina cc 1800 na allipn A20 ina cc 2000.allion lita moja inakimbza mpaka km 24 mkuu pili allion ina cc 1500 kwa maana hyo premio iko juu tu
nmekuelewa mkuuuAllipn A15 in cc 1500, alion A18 ina cc 1800 na allipn A20 ina cc 2000.
Allion gari zuri sana
Mkuu... premio zipo zenye engine tofauti... kuna yenye cc 1700allion lita moja inakimbza mpaka km 24 mkuu pili allion ina cc 1500 kwa maana hyo premio iko juu tu
Natumia Premio 2003, cc 1490, ipo vzr, ulaji wa mafuta ni mzuri sana, ninamwaka 4 sijawahi gusa engineallion lita moja inakimbza mpaka km 24 mkuu pili allion ina cc 1500 kwa maana hyo premio iko juu tu
Premio zipo za CC 1490, ndio nayoitumia kwa sasa mwaka 4Mkuu unazidi kunichanganya, tofauti ipo Premio cc1700 na zaidi wakati Allion ni cc1500.
Kuna watu ni washamba sana wanafikiri wote waenende kimaisha kama wanavyowaza waoWatu Mna mambo ya ajabu?? Na kama anayo hiyo nyumba afanyaje??akutangazie??punguza ushamba nawe,kama vipi pamda juu ya nyumba ikupeleke unapotaka
Unanunua cement na mchanga tuuuSite nataka kwenda na gari mkuu. Maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua. Gari linatumia siku 40 kuagiza ila milioni kumi na tano niambie najenga nyumba gani