Heisenberg
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 1,683
- 2,907
Wakuu ninamiliki Rav4 2006 aka Miss Tz. Baada ya kupima uchumi wangu nimegundua sina uwezo wa kununua gari ninalilipenda kwa siku za karibuni.
nimeamua nilifanyie matengenezo makubwa pamoja na ku upgrade baadhi ya vitu ili liwe vizuri liendane na wakati huku siku zikisoge
Je. vitu hivi naweza vipata hapa Tz kwa bei nzuri? au nitafute supplier wa Dubai au China?
Roof rack hizo juu ya gari
Nahitaji stearing yenye controls za Music
Nahitaji android radio Tesla Style
Napenda hizo Side step
Rubber za kwenye vioo
Taa za nyuma za LED
Taa za mbele za LED
Pia na udambwi dambwi Mwingine.
Naombeni ushauri
nimeamua nilifanyie matengenezo makubwa pamoja na ku upgrade baadhi ya vitu ili liwe vizuri liendane na wakati huku siku zikisoge
Je. vitu hivi naweza vipata hapa Tz kwa bei nzuri? au nitafute supplier wa Dubai au China?
Roof rack hizo juu ya gari
Nahitaji stearing yenye controls za Music
Nahitaji android radio Tesla Style
Napenda hizo Side step
Rubber za kwenye vioo
Taa za nyuma za LED
Taa za mbele za LED
Pia na udambwi dambwi Mwingine.
Naombeni ushauri