jamani ilitakiwa niondoke na ndege ya saa 12 leo jioni kutoka dsm to arusha. Hawa watu wamenigandisha tu hadi watu wameanza kuingia kwenye ndege. Mwisho wananiambia ndege imejaa niondoke kesho. Jamani nimenuna hadi nahisi mdomo umekuwa mchungu
jamani ilitakiwa niondoke na ndege ya saa 12 leo jioni kutoka dsm to arusha. Hawa watu wamenigandisha tu hadi watu wameanza kuingia kwenye ndege. Mwisho wananiambia ndege imejaa niondoke kesho. Jamani nimenuna hadi nahisi mdomo umekuwa mchungu
jamani ilitakiwa niondoke na ndege ya saa 12 leo jioni kutoka dsm to arusha. Hawa watu wamenigandisha tu hadi watu wameanza kuingia kwenye ndege. Mwisho wananiambia ndege imejaa niondoke kesho. Jamani nimenuna hadi nahisi mdomo umekuwa mchungu
Acheni kuwa walalamishi.Hata airline kubwa wanafanya flight cancellation.What if kama ndege ina matatizo? Msing'ang'anie kuruka tu mnaweza msifike!!
Acheni kuwa walalamishi.Hata airline kubwa wanafanya flight cancellation.What if kama ndege ina matatizo? Msing'ang'anie kuruka tu mnaweza msifike!!
Bongo kwa ujumla customer care is very poor karibia sehemu nyingi wanazotoa huduma. But hata mashirika makubwa ya ndege mara kadhaa huwa na tatizo la kubadili ratiba tena mkiwa tayari mmeshachekiwa, lakini hiyo ya kichaga imezidi lol..tena wanachukua cheap labor watu wasio na elimu ya kutosha hasa kwa customer care.
pole sana, ndio ndege za wachagga zilivyo, wao wanataka pesa tu, kutoa huduma nzuri hawataki