Pre-mature ejaculation inanitesa wakuu naombeni ushauri wenu

Pre-mature ejaculation inanitesa wakuu naombeni ushauri wenu

immortanity

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2024
Posts
859
Reaction score
1,583
Wakuu natumai hamjambo wote.

Daaah hii ishakuwa hatari mpka naishiwa pawa kuhusu hilo swala la pre-mature ejaculation hali inazidi kuwa mbaya .
Kama ni zoezi na piga sio haba lakini wapi hali ni ile ile wakati wa romance tu tayari nishatuwa mzigo aisee🄲.

Hii hali inanisikitisha sana hata sioni umuhimu wa kukutana na demu maana utaishia kudhalilika tu umeloanisha suruli si aibu hizi wakuu.

Naombeni ushauri wenu wakuu ninusurike na hii fedheha

Yaani unakuwa unaishia tu kula kwa macho aiseee hii kitu inanikata balaa

Tafadhali naombeni ushauri wenu na kwa yeyote aliiwahi pitia changamoto kama yangu naomba anaipe mwongozo uliwezaje kukabiliana nayo.

Asanteni sana.
 
wakuu natumai hamjambo wote.
Daaah hii ishakuwa hatari mpka naishiwa pawa kuhusu hilo swala la pre-mature ejaculation hali inazidi kuwa mbaya .
kama ni zoezi na piga sio haba lakini wapi hali ni ile ile wakati wa romance tu tayari nishatuwa mzigo aisee🄲.

hii hali inanisikitisha sana hata sioni umuhimu wa kukutana na demu maana utaishia kudhalilika tu umeloanisha suruli si aibu hizi wakuu.

naombeni ushauri wenu wakuu ninusurike na hii fedheha

yani unakuwa unaishia tu kula kwa macho aiseee hii kitu inanikata balaa

tafadhali naombeni ushauri wenu na kwa yeyote aliiwahi pitia changamoto kama yangu naomba anaipe mwongozo uliwezaje kukabiliana nayo.

asanteni sana.
Pole sana, anza kufanya kegel exercises for men na kama una matatizo mengine ya kiafya, kuwa serious kuyashughulikia.
 
Hujaeleza vizuri usaidiwe. Pre Mature inamaana unamwaga kabla hujaingiza au ukiingiza ndani ya sekunde umemaliza au una changamoto ipi usaidiwe mkuu lakini yote katika yote, pole sana.
 
wakuu natumai hamjambo wote.
Daaah hii ishakuwa hatari mpka naishiwa pawa kuhusu hilo swala la pre-mature ejaculation hali inazidi kuwa mbaya .
kama ni zoezi na piga sio haba lakini wapi hali ni ile ile wakati wa romance tu tayari nishatuwa mzigo aisee🄲.

hii hali inanisikitisha sana hata sioni umuhimu wa kukutana na demu maana utaishia kudhalilika tu umeloanisha suruli si aibu hizi wakuu.

naombeni ushauri wenu wakuu ninusurike na hii fedheha

yani unakuwa unaishia tu kula kwa macho aiseee hii kitu inanikata balaa

tafadhali naombeni ushauri wenu na kwa yeyote aliiwahi pitia changamoto kama yangu naomba anaipe mwongozo uliwezaje kukabiliana nayo.

asanteni sana.
Pole sana mkuu.
Mkuu huwa unakutana na mwanamke kila baada ya muda gani?

Umeshajaribu kukaa na mwanamke wiki nzima na hali ikawa hiyo hiyo kila siku?
 
wakuu natumai hamjambo wote.
Daaah hii ishakuwa hatari mpka naishiwa pawa kuhusu hilo swala la pre-mature ejaculation hali inazidi kuwa mbaya .
kama ni zoezi na piga sio haba lakini wapi hali ni ile ile wakati wa romance tu tayari nishatuwa mzigo aisee🄲.

hii hali inanisikitisha sana hata sioni umuhimu wa kukutana na demu maana utaishia kudhalilika tu umeloanisha suruli si aibu hizi wakuu.

naombeni ushauri wenu wakuu ninusurike na hii fedheha

yani unakuwa unaishia tu kula kwa macho aiseee hii kitu inanikata balaa

tafadhali naombeni ushauri wenu na kwa yeyote aliiwahi pitia changamoto kama yangu naomba anaipe mwongozo uliwezaje kukabiliana nayo.

asanteni sana.
Fanya zaidi mazoeezi ya kutembea kwa muda mrefu mkuu huwa yanasaidia. tembea hata kilomita nane kila siku.
 
Back
Top Bottom