pray for me

pray for me

smartphone

Member
Joined
Jun 16, 2012
Posts
20
Reaction score
15
Namshukuru mungu kwa kuniwezesha kuuona mwaka huu na pia kuwa mmoja wenu,ila pamoja na hayo yapo mambo ambayo nilitamani sana kuyapata mwaka 2012 sijayapata,mojawapo ni kuwa na mchumba ili mwisho wa siku tuoane,nimeomba sana kwa hili lakini sijafanikiwa,ni muda sasa nimekuwa nikisali kwa ajili ya hili pasipo majibu,please naomba mnisaidie kusali pamoja nami na ikiwezekana kupata mawazo yenu course nimekosa imani!asante
 
Bila shaka mungu ni mwema kila kitu kinakuja kwa wakati wake usichoke!
 
usikate Tamaa Wahusika Watalishughurikia Hili Suala Haraka Iwezekanavyo!
 
Mungu anaweka njia pasipokuwa na njia na pia anajibu kwa wakati wake,mf utaomba leo atakupa kesho kutwa so don give up keep on praying!
 
Amen mkuu, Mungu huwa hachelewi wala kuwahi. Atakupa kwa wakati wako usipozimia moyo ili kusudi lake litimie. au pengine kwa sabababu unanata awe mchumba kwanza, yeye ana-time utakapotaka kuoa tu amtokeze. Hahaaa, Keep up the faith wont cost you a lhing rather gain strength and Hope,
 
Imani pasipo matendo imekufa...
Haiwezekani unaomba upate mchumba halafu hujichanganyi na jinsia tofauti nawe...uza nyago dogo uonekane.
 
Namshukuru mungu kwa kuniwezesha kuuona mwaka huu na pia kuwa mmoja wenu,ila pamoja na hayo yapo mambo ambayo nilitamani sana kuyapata mwaka 2012 sijayapata,mojawapo ni kuwa na mchumba ili mwisho wa siku tuoane,nimeomba sana kwa hili lakini sijafanikiwa,ni muda sasa nimekuwa nikisali kwa ajili ya hili pasipo majibu,please naomba mnisaidie kusali pamoja nami na ikiwezekana kupata mawazo yenu course nimekosa imani!asante

Safi sana kwa Maombi Mungu hashindwi kamwe,sijui una umri gani,30s? or may be Mungu alitaka usome kwanza,then upate kazi ujipange,kama ni mkristo funga na kwa maombi NOVENA 9 Days,ukianza niambie nikusaidie,bt also kama alivosema watu8 join social groups,like kwa wakristu kumuia,kazini,social events,Pia amini,If u believe it u will receive it.
Prayerise,picturise,then Actualise.Pia jitahidi kuomba kwa kutoa pia,"nijaribuni kwa kutoa nanyi mtaona nitakavyowafanyia"so mkuu i assume wewe ni He,Dont give up,"THE LAST DROP IS THE HEAVIEST ONE" This year is for you i Promise.
 
Dah tutakuombea best utapata
 
Imani pasipo matendo imekufa...
Haiwezekani unaomba upate mchumba halafu hujichanganyi na jinsia tofauti nawe...uza nyago dogo uonekane.
duh!we noma umenifanya nicheke.
 
Namshukuru mungu kwa kuniwezesha kuuona mwaka huu na pia kuwa mmoja wenu,ila pamoja na hayo yapo mambo ambayo nilitamani sana kuyapata mwaka 2012 sijayapata,mojawapo ni kuwa na mchumba ili mwisho wa siku tuoane,nimeomba sana kwa hili lakini sijafanikiwa,ni muda sasa nimekuwa nikisali kwa ajili ya hili pasipo majibu,please naomba mnisaidie kusali pamoja nami na ikiwezekana kupata mawazo yenu course nimekosa imani!asante

Smartphone..., kila kitu kina wakati wake. Kuna wakati wa kuoa na kuolewa.., kuna wakati wa kucheka na kulia.., kuna wakati wa kuzaliwa na kufa..., kuna wakati wa kupanda na kuvuna.
Nami natafuta mchumba pia.., tuwasiliane.., Mungu anaweza tenda jambo kuu ktk maisha yetu mwaka huu..., tuendelee kuomba.., no one knows except our Almight God.
Heri ya mwaka mpya na Mungu akujaze rehema zake na akutimilizie haja za moyo wako.
 
Mungu hachelewi wala hawahi. Endelea kuamini. Kila la kheri kwa mwaka 2013. Kila jema upewe weww.
 
Kua na subira na imani pia,,unapokata tamaa ndo ujue unakaribia kupata
 
God's time is the best time; usiache kumuomba Mungu, just because hujajibiwa mapema. What if angekupa last month na next week huyo mchumba angekufa na ajali?

Tafuta wimbo wa God's time umeimbwa na Emmanuel Singers YouTube utakufariji, mimi pia huwa unanifariji sana.
 
wachumba mbona hata jamvini wapo kibao
au unataka wa kuchonga mwenyewe?
 
Pole...Atakuja kwa wakati wa Mungu.Jaribu kujiweka busy na mambo mengine ili usifikirie sana upweke na kujiepusha na stress..Pia usikurupuke alimradi yoyote atakayetokea kwako ni riziki kwa kuwa upo desperate..
 
kila la heri ndugu bt fanyia kazi yawezekana wanakuja ila wewe huonyeshi ushirikiano
 
God's time is the best time; usiache kumuomba Mungu, just because hujajibiwa mapema. What if angekupa last month na next week huyo mchumba angekufa na ajali?

Tafuta wimbo wa God's time umeimbwa na Emmanuel Singers YouTube utakufariji, mimi pia huwa unanifariji sana.


Are u available?
 
Back
Top Bottom