"Pray For Dr. Ulimboka" Facebook Page

Tumuombea kwa liipi hasa, kwa lile la kuua wagonjwa kwa kuchochea mgomo wa kijinga? Ni bora niombee wagonjwa wasio na uwezo wa kupata matibabu kutokana na huu mgomo. Bora tu akafie mbele ili naye aonje adha za kuua watu kwa mgomo wake.
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
 
Prayers for Dr. Ulimboka and his family! May he recover fully! We need #Justice4dr.Ulimboka!!
 
"Nami nilipopita karibu nawe, nikakuona ukigaagaa katika damu yako, nalikuambia, ujapokuwa katika damu yako, uwe hai; naam nalikuambia, ujapokuwa katika damu yako uwe hai" Ezekiel 16:6-7. Tumshukuru Mungu ambaye alimwona akigaagaa katika damu yake akamweka hai hata leo. Neno la Mungu ni ndiyo na amina litazidi kumweka huru.
 
Tumuombea kwa liipi hasa, kwa lile la kuua wagonjwa kwa kuchochea mgomo wa kijinga? Ni bora niombee wagonjwa wasio na uwezo wa kupata matibabu kutokana na huu mgomo. Bora tu akafie mbele ili naye aonje adha za kuua watu kwa mgomo wake.
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
Pepo mchafu Barnabas Shadrack, toka katika jina la Yesu, rudi kuzimu na mapepo wakuu waliokutuma, Jk toooka, Pinda toooka na mshindwe kwa Jina la Yesu. Wenye mapenzi mema na Dr. Ulli tuseme ameeeen!!!!!!!!:israel:

 
Tumuombea kwa liipi hasa, kwa lile la kuua wagonjwa kwa kuchochea mgomo wa kijinga? Ni bora niombee wagonjwa wasio na uwezo wa kupata matibabu kutokana na huu mgomo. Bora tu akafie mbele ili naye aonje adha za kuua watu kwa mgomo wake.
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.

mkuu uwe macho sana na majibu kwa vile umejitambulisha mazima mazima.
 
Pepo
mchafu Barnabas Shadrack, toka katika jina la Yesu, rudi kuzimu na
mapepo wakuu waliokutuma, Jk toooka, Pinda toooka na mshindwe kwa Jina
la Yesu.
Wenye mapenzi mema na Dr. Ulli tuseme
ameeeen!!!!!!!!
:israel:


Aaameen!!
 
[h=2]kikwete ni mnafiki no 1[/h]
Tangu tupate maraisi hatujawahi kuwa na rais mnafiki, mzembe,dhaifu na ndumila kuwili kama kikwete uendeshaji serikali yake umejaa fitina dhihaka na upuuzi mwingi anyemshabikia huyu naomba aweke haya maelezo kwa kuprint au kucopy na baa ya 2015 mtaona kwa nini tz imefika hapa ilipo ni sababu ya huyu mr dhaifu hakuna alichowahi kuongoza kikafanikiwa zaidi ya kutengeneza makundi ndani ya chama na nchini ili awe madarakani kirahisi mungu ibariki tanzania kwa haraka sana tuondokane na huyu mnafiki

akange;4201125]"Pray For Dr. Ulimboka" Facebook Page
https://www.facebook.com/PrayForUlimboka
[/QUOTE]
 
pepo mchafu barnabas shadrack, toka katika jina la yesu, rudi kuzimu na mapepo wakuu waliokutuma, jk toooka, pinda toooka na mshindwe kwa jina la yesu. wenye mapenzi mema na dr. Ulli tuseme ameeeen!!!!!!!!:israel:


ameeen!
 
Tumuombea kwa liipi hasa, kwa lile la kuua wagonjwa kwa kuchochea mgomo wa kijinga? Ni bora niombee wagonjwa wasio na uwezo wa kupata matibabu kutokana na huu mgomo. Bora tu akafie mbele ili naye aonje adha za kuua watu kwa mgomo wake.
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
Ma-dr wawepo au wasiwepo hospitali wagonjwa wasio na uwezo wanakufa
Na sababu hata wewe unaijua
Serikali yako haina uwezo (wa dhamira na si wa kifedha)kuboresha sekta ya afya
Ina bajeti ya wanasiasa ya kuzurura
Alianza mkuu wa kaya
Sasa kamati za bunge zinakula kuku ziarani
Wana bajeti ya mambo ya kipuuzi kama posho na semina na makongamano
Wana bajeti za anasa (rejea ofisi ya rais)
Ila bajeti ya kuboresha huduma za afya hakuna
Ila sijui hata kwa nini napoteza muda kukuambia yote haya
Kama hujanunuliwa wewe ni mmoja wa wanaonyonya na kuua wagonjwa wasio na uwezo kwa kufaidika na mfumo huu dhalimu
 
Back
Top Bottom