FrankMakange
Member
- Jul 7, 2012
- 9
- 3
"Pray For Dr. Ulimboka"
Pepo mchafu Barnabas Shadrack, toka katika jina la Yesu, rudi kuzimu na mapepo wakuu waliokutuma, Jk toooka, Pinda toooka na mshindwe kwa Jina la Yesu. Wenye mapenzi mema na Dr. Ulli tuseme ameeeen!!!!!!!!:israel:Tumuombea kwa liipi hasa, kwa lile la kuua wagonjwa kwa kuchochea mgomo wa kijinga? Ni bora niombee wagonjwa wasio na uwezo wa kupata matibabu kutokana na huu mgomo. Bora tu akafie mbele ili naye aonje adha za kuua watu kwa mgomo wake.
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
Tumuombea kwa liipi hasa, kwa lile la kuua wagonjwa kwa kuchochea mgomo wa kijinga? Ni bora niombee wagonjwa wasio na uwezo wa kupata matibabu kutokana na huu mgomo. Bora tu akafie mbele ili naye aonje adha za kuua watu kwa mgomo wake.
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
Pepo
mchafu Barnabas Shadrack, toka katika jina la Yesu, rudi kuzimu na
mapepo wakuu waliokutuma, Jk toooka, Pinda toooka na mshindwe kwa Jina
la Yesu. Wenye mapenzi mema na Dr. Ulli tuseme
ameeeen!!!!!!!!:israel:
pepo mchafu barnabas shadrack, toka katika jina la yesu, rudi kuzimu na mapepo wakuu waliokutuma, jk toooka, pinda toooka na mshindwe kwa jina la yesu. wenye mapenzi mema na dr. Ulli tuseme ameeeen!!!!!!!!:israel:
Roast In Pieces!
Ma-dr wawepo au wasiwepo hospitali wagonjwa wasio na uwezo wanakufaTumuombea kwa liipi hasa, kwa lile la kuua wagonjwa kwa kuchochea mgomo wa kijinga? Ni bora niombee wagonjwa wasio na uwezo wa kupata matibabu kutokana na huu mgomo. Bora tu akafie mbele ili naye aonje adha za kuua watu kwa mgomo wake.
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.