Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
hiki chama kama mnakumbuka kilichukua /kilipata kura nyingi tu japo hakikuibuka na jimbo lolote . wananchi wengi wanatukubali / wanakubali chama letu . sasa Mziray twende lini ikulu kupeleka mapendekezo yetu ya katiba na kupiga makombe ya juice?