Sisi tlp kesho tuna kikao cha kuchagua wajumbe wa kwenda magogoni. Kwa kweli siku 1 au 2 hazitoshi, tutamwomba jk aturuhusu tuishi pale japo wiki 1.
Huyu siyo wa kumwamini sana kwani nafikiri hata Mkuu wa Kaya analijua. Akiahidi kwenda ikulu, nafikiri hawatamwandalia Juice kwani anaweza kugairi dakika za mwishoni kabisa kama alivyojitoa kwenye uchaguzi mkuu na kusababisha hasara kwa ikulu yetu.Huyu ni kumutayarishia maji tu ya kunywa.
thera, hai sikatonge
Ivuga, katibu mkuu wa chama, hebu tupe taarifa tunaenda lini?
Hilo Jina la kati ilitakiwa uliite kama walivyoliita tume ya uchaguzi (NEC-Ccm D) ndio inanoga mkuu,
ingawa walilikosea,
Aliitwa DOVUTWA YAHMI DOVUTWA a.k.a Mgambo bila kirungu!!