Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 302
Kama kweli serikali ilikubali kutoa hiyo hati na kama kweli Chadema au wafiwa wanayo hiyo hati mkononi na imeandikwa sababu ya kifo kuwa ni kwa kutobolewa na risasi, basi kwa kutumia hati hiyo serikali inaweza kushitakiwa kwenye mahakama yoyote ya kimataifa kama wahusika watataka kufanya hivyo.
Kwa vile tukio lenyewe nila kisiasa zaidi na limehusisha watu wengi serikali inaweza kupata wakati mgumu kulimaliza kienyeji kwa mazungumzo labda tu kama wahusika(wafiwa) au Chadema au mashirika ya haki za binadamu yaamue kutolifuatilia.
Nasema kwa serikali kukubali kutoa hati ya vifo vya maandamano ya Arusha imefanya kosa kubwa la mwaka ni kama imejifunga kitanzi yenyewe inasubiri huruma ya mvutaji.
Kwa vile tukio lenyewe nila kisiasa zaidi na limehusisha watu wengi serikali inaweza kupata wakati mgumu kulimaliza kienyeji kwa mazungumzo labda tu kama wahusika(wafiwa) au Chadema au mashirika ya haki za binadamu yaamue kutolifuatilia.
Nasema kwa serikali kukubali kutoa hati ya vifo vya maandamano ya Arusha imefanya kosa kubwa la mwaka ni kama imejifunga kitanzi yenyewe inasubiri huruma ya mvutaji.