wakuu kuna tetesi kuwa zile post za ualimu tayari zipokwenye computer za wizara kuonesha jina la mtu na mkoa atakao kwenda je ni kweli?na zile tetesio kuwa mikoa ya ajira ni saba tu zinauhakika?
wakuu kuna tetesi kuwa zile post za ualimu tayari zipokwenye computer za wizara kuonesha jina la mtu na mkoa atakao kwenda je ni kweli?na zile tetesio kuwa mikoa ya ajira ni saba tu zinauhakika?
sio kazi ya kusubiria coz walimu wanahitajika sana mtaani,so unaweza kwenda private schools ukapga mzigo kuliko kukaa unasubir hzo posts za wizara ya mulugo.
sio kazi ya kusubiria coz walimu wanahitajika sana mtaani,so unaweza kwenda private schools ukapga mzigo kuliko kukaa unasubir hzo posts za wizara ya mulugo.