Post za kidato cha tano 2015/2016

Post za kidato cha tano 2015/2016

Status
Not open for further replies.
kwa hili jambo,serikali yetu ilaumiwe na siyo serikali ya kuipa madaraka tena kwa kushindma kufanikisha mambo madogo madogo kama haya
 
Mwaka wetu post zilitoka trh 28/3 na kuripoti skul ilkua trh 14/4, only two wks b4 kwa hyo vumilia tu
 
kwa hili jambo,serikali yetu ilaumiwe na siyo serikali ya kuipa madaraka tena kwa kushindma kufanikisha mambo madogo madogo kama haya

Wenzenu Wa mwaka Jana post zilitoka mwez Wa 6 mwishoni , sasa sijui mnalalamika nini ? Mumemaliza kusoma tuition au mnalilia post huku mnakesha kwenye social media ?
Msije kwenda uko shuleni mlikochaguliwa mkaishia kupata DDD
 
Wenzenu Wa mwaka Jana post zilitoka mwez Wa 6 mwishoni , sasa sijui mnalalamika nini ? Mumemaliza kusoma tuition au mnalilia post huku mnakesha kwenye social media ?
Msije kwenda uko shuleni mlikochaguliwa mkaishia kupata DDD

mkuu,ni bora kukaa ukijua kwamba mimi shule yangu ni fulani
 
yaan hapa mkuu,tuition nimesoma mpaka nimechoka nimeona nipate rest kidogo kwa mwezi wa sita
 
Kudadadeki hivi hii bora serikali mpka leo watoto wa wakata mkaa hatujaenda shule watoto wa wenyew wanarudi likizo ya kwanza advance jamen hii serikali hii hapana aisee kama vipi watuachishe shule kudadadeki yuangalie ustaarabu maan wengine ooohh zimetoka mara hazijatoka
Huu ujinga
 
Wenzenu Wa mwaka Jana post zilitoka mwez Wa 6 mwishoni , sasa sijui mnalalamika nini ? Mumemaliza kusoma tuition au mnalilia post huku mnakesha kwenye social media ?
Msije kwenda uko shuleni mlikochaguliwa mkaishia kupata DDD

kusoma tuition bila kuelewa direction wap unaenda km ni advance o chuo nalo ni tatizo ndo maana watu wako na pressure xana kutaka kufahamu kuhusu hizo post
 
kusoma tuition bila kuelewa direction wap unaenda km ni advance o chuo nalo ni tatizo ndo maana watu wako na pressure xana kutaka kufahamu kuhusu hizo post

Umepata distinction, merit au credit !! Na kwenye fom umejaza kitu cha kwanza unaomba ukifaulu upangiwe shule ya advance ,kwanini uwe na mchecheto ?
 
Kudadadeki hivi hii bora serikali mpka leo watoto wa wakata mkaa hatujaenda shule watoto wa wenyew wanarudi likizo ya kwanza advance jamen hii serikali hii hapana aisee kama vipi watuachishe shule kudadadeki yuangalie ustaarabu maan wengine ooohh zimetoka mara hazijatoka
Huu ujinga

Tafuta private school ukasome wanzako wanamalizia syllabus
 
kusoma tuition bila kuelewa direction wap unaenda km ni advance o chuo nalo ni tatizo ndo maana watu wako na pressure xana kutaka kufahamu kuhusu hizo post

Wewe kama una natokeo mazuri kiujumla plus prior combination ulizochagua pressure ya nini? Tulia selection zitatoka tu na shule utaenda- Utasoma hadi uanze kuuliza tena likizo lini???
Ila kama una DDC hapo endelea na pressure yako maana hakuna namna. Kuona Adv kwa shule za serikali unatakiwa uwe na angalau CCD kwenye combinatuon husika- Jitafakari kabla hujaja kuuliza maswali yako hapa.
 
Wewe kama una natokeo mazuri kiujumla plus prior combination ulizochagua pressure ya nini? Tulia selection zitatoka tu na shule utaenda- Utasoma hadi uanze kuuliza tena likizo lini???
Ila kama una DDC hapo endelea na pressure yako maana hakuna namna. Kuona Adv kwa shule za serikali unatakiwa uwe na angalau CCD kwenye combinatuon husika- Jitafakari kabla hujaja kuuliza maswali yako hapa.

Tatizo cyo la kwako ndo maana unachukulia simple we fanya utafiti utagundua wanafunzi weng waliyomaliza 4m4 mwaka jana wamekeleka na kitendo cha post kuchelewa utagundua almost kama 80% wamekelwa na hiki kitendo..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom