Shilewashile
Senior Member
- Dec 2, 2014
- 121
- 48
Wana jf naomba kuuliza ni kweli Posti za Kidato cha Tano 2015 zimetoka? je nitazipata katika website gani?
Wana jf naomba kuuliza ni kweli Posti za Kidato cha Tano 2015 zimetoka? je nitazipata katika website gani?
post kidato cha tano lini
Zimetoka muda gani muungwana????maana maswali yamekuwa mengi mtaani na shule za watu binafsi zimeshaanza masomohaha zimetoka hamjaziona?
Kesho!
mwaka jana zilitoka kweny tarehe kumi na kitu mwez june so nahisi zitatoka ndani wiki mbil zijazo, kuwen wavumilivu wadogo zangu
Mmmh hasa hapo inapungua au ndoo inazid bk@
acha kurusha watu roho...
Unajua ukitaka kuyamudu mazingira ya hofu kama haya ni ku assume kama yatatoka baada ya mwezi mmoja mbele hapo nadhan hapo pressure itapungua