MkuuEveryone will die kaka. Hatuezi jua how tu
Na nasikia ukipiga Jager na koka hilo game lake ni level za hussein bolt
Mwamba atajua hajui....Ila huwa watamu hao wa kienyeji.
Halafu ukapiga kavu sasa.
Leo anashangilia ushindi dhiki zake zimefika ukomo baada ya mtego aliokuwekea kuitika. ulipoziona shanga mara ya kwanza haikuwa bahati mbaya, it was a gradual process of taming the beast in you, alas, today it has paid off.
Subiri shemeji na wakwe zako wahamie kwako sasa.


