Damian J Ntundagi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2017
- 1,627
- 2,276
Dar ndogo lakini inawatu wengi
Waaukuma nchi nzima 12 milionYaani population ya dar city ni sawa na population ya wasukuma wote nchi nzima
Watanzania huwa tuna tabia ya kubisha jambo kwanza na kutafuta/kutaka ufafanuzi baadae. Hii ni tabia ambayo imeshageuka kuwa utamaduni na huwa inatukosesha kuelewa vitu vingi. Utamwambia mtu fact abc... ila kwanza atabisha. Baadae ukimwelesha ndiyo utasikia anasema '' labda uniambie hivyo''.Halafu kweli hao ndo wasumbufu vibaya mno.., mara arusha ina 1.5M sijui sensa ya 2012 idadi ilikuwa hivi hivyo haiwezi kuwa hivyo yaani shida tupu
😀😀
Hahaha wabongo ni shidaWatanzania huwa tuna tabia ya kubisha jambo kwanza na kutafuta/kutaka ufafanuzi baadae. Hii ni tabia ambayo imeshageuka kuwa utamaduni na huwa inatukosesha kuelewa vitu vingi. Utamwambia mtu fact abc... ila kwanza atabisha. Baadae ukimwelesha ndiyo utasikia anasema '' labda uniambie hivyo''.
Ni kweli zanzibar ni nchi, na katika nchi ya zanzibar kuna jiji linaitwa zanzibar, get thatZanzibar ni nchi si jiji.
Yaani population ya dar city ni sawa na population ya wasukuma wote nchi nzima