Population of Tanzania Cities and Towns 2019

Hizi takwimu zina walakini Mkubwa ,mwanza Jiji sensa ya 2012 ilikua na 650000 Leo hii iwe Mara mbili yake ?
 
Yaani population ya dar city ni sawa na population ya wasukuma wote nchi nzima
Wasukuma ni wengi kuliko dar nzima..coz hata data za wingi wa wasukuma za Mwaka 2012 walikuwa 8.9M so saiv wanaeza kuwa hata 11M almost dar mbili
IMG_20191207_100743_223.jpeg
 
Good evening,
Here is the population of Tanzania cities and towns by 2019

Dar es Salaam city 6,368,000

Mwanza city 1,061,000

Zanzibar city 677,000

Mbeya city 541,000

Arusha city 483,000

Dodoma city 410,956

Morogoro town 395,000

Songea town 331,000

Source:United Nations.

Note: kuna miji kama kahama sijapata vizuri population yake....

Uzi tayari...
Hivi Zanzibar ni city

Na hao laki 6+ wamepatikanaje?
 
Ila nahisi Dar watu wanafika million 10
Good evening,
Here is the population of Tanzania cities and towns by 2019

Dar es Salaam city 6,368,000

Mwanza city 1,061,000

Zanzibar city 677,000

Mbeya city 541,000

Arusha city 483,000

Dodoma city 410,956

Morogoro town 395,000

Songea town 331,000

Source:United Nations.

Note: kuna miji kama kahama sijapata vizuri population yake....

Uzi tayari...
 
Dar noma dah.

Kaeneo kadogo (1590 km sqr) hafu watu Mil 6.4, Population density ni zaidi ya 4,000/km sqr.

Hafu mbona kwenye izo data population ya Mwanza imepungua? 2002 ilikua zaidi ya Mil 2.
Population inahotajwa ni ya Jiji la Mwanza na sio Mkoa wa Mwanza.
Hii inamanisha jiji la Mwanza linaundwa na Wilaya ya Ilemela na Nyamagana.
 
We jamaa ukijumlisha izo population hatuwezi kufika milioni 55 aisee, unataka uniambie wamehesabu katikati ya mji tu?
 
Back
Top Bottom