Hahahahaaa ngoja nitafute tape measure mpwa
A sort of mass hallucinations na mara nyingi ni mambo ya pwani ambako kuna vitu vya ajabu ajabu kama mwembe basha nk
Kingereza ndugu yangu ni wito.Mie nimeambulia hayo ya kiswahili hata hiyo "mwembe basha"sijaielewa kwakweli