Popobawa originally

Popobawa originally

nilikuwaga naskia tu popobawa popobawa kumbe mkia wake ni kama wa binadamu aiseee ndo najua leo
 
A sort of mass hallucinations na mara nyingi ni mambo ya pwani ambako kuna vitu vya ajabu ajabu kama mwembe basha nk

Una jifanya huamini sio? Muulize mzee Majuto kwenye kona ya kutoka Kwafungo Kwenda Mamboleo barabara ya Tanga kuna mwembe unaitwa mwembe basha atakueleza stori za huo mwembe
 
Una jifanya huamini sio? Muulize mzee Majuto kwenye kona ya kutoka Kwafungo Kwenda Mamboleo barabara ya Tanga kuna mwembe unaitwa mwembe basha atakueleza stori za huo mwembe

Naufehemu sana ule kuna mwingine uko karibu na mabawa na njia ya kwenda kicheba Muheza
 
Haka kadudu mshipa ukilenga na busha zinatuna! -hahahahah!
 
Back
Top Bottom