jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 21,702
- 41,865
Wakifanikiwa?
Hawatofanikiwa namba ziko wazi.
Wakifanikiwa?
Na Mimi nimekukumbusha tu kuwa hata hao wakubwa waliomo ndani ya Bric's wanajua wanalofanya na hata Urusi ana mkono ndani ya NATO na EU haya mambo ya kawaida sana kwenye Ulimwengu wa Ushushushu.Mkono wa usa humo brics hauwezi kosekana influence yake haiwezi shindwa ku control wanachama wa brics.
Mimi nimejenga hoja juu ya wanaodhani brics inakwepa mkono wa usa kimsingi hilo halipo.
AsanteNa Mimi nimekukumbusha tu kuwa hata hao wakubwa waliomo ndani ya Bric's wanajua wanalofanya na hata Urusi ana mkono ndani ya NATO na EU haya mambo ya kawaida sana kwenye Ulimwengu wa Ushushushu.
India ndio mamluki wa kwanza wa US na UK, haitokaa itokee milele India akawa mnyenyekevu hapo BRICKS. WA INDIA ni wengi US, UK na Canada na wanafanya biashara na Siasa huko. India na China ni maadui wakubwa(kugombea mpaka Kati yao)na hawafanyi biashara. Saudi Arabia ni Mamluki wa 2 wa US, Agentina ni Mamluki wa 3 wa Nchi magharibi kupitia Spain(Wajentina ni waispaniola), South Africa ni Mamluki wa chini chini ( Wazungu pale watatoa taarifa kwa US na UK kabla ya mipango ya Bricks haijatekelezwa). Brazil raisi Wao ndio mwenye nia ya Bricks lakini wanasiasa waliobaki wapo upande wa Magharibi kumbuka Bolsonaro alikua ana presha na Bricks kwahiyo akiondoka Lura tu Brazili ni kivuli. BRICKS imeundwa kwa ajili ya China kupata makoloni ya biashara na Urusi kupata Washirika wa Kijeshi zaidi ya hapo amna kitu.Mkuu wewe Unafikiri China na Urusi,,India,Iran n.k hawajui kuwa Saudia ni Mamruki wa US lakini wewe huku ndio unajua?.
Nasikitika kukujulisha kuwa vipimo vinaonesha wewe ni empty set yaani huna akili hata ya kuvukia barabara.Sababu ingine yaweza kuwa upande wa nchi za magharibi na Marekani zaona kwamba BRICS imewakubali Iran na Saudi Arabia ambao ni waislam basi nao kwa kuwa majority ni wakristo wameona labda Vatican akae kama "observer" ili kama kuna hitilafu basi Papa awe mpatanishi.
Yaani hiyo itakuwa tayari wameanza kuingiza UDINI kwenye hili la BRICS eti sababu tu Iran na Saudi Arabia watajiunga.
Habari gani za ndani za BRICS za kufichwa??Wasikubali hilo ni pandikizi linawekwa ili lichunguze habar za ndan
And vice versa is true.Unamanisha Vatican ni vibaraka wa nchi za magharibi?
Habari kutoka Vatican City papa Fransisco ameomba apewe nafasi ya kujiunga na "global South " kama mwangalizi.
Wachambuzi wa medani za kimataifa wanahofu kuwa huwenda ombi lake likagonga mwamba kutokana na kuwa ni miongoni mwa nchi zinazofungamana na wamagharibi.
View attachment 2728854
Kwani NATO wakitaka kushambulia mahali huwa wanafanya kwa siri, ghafla au kushitukiza??Anayedhani Russia Hana mamluki wanaompa taarifa za NATO inabidi ajitafakari sana....we hujiulizi nowadays nchi za NATO Kila zinapotaka kushambulia sehem Fulani zinakuta mrusi tayari ametegesha komwe lake Ili akiguswa akiwashe on the spot.
Rejea pale Niger vs France chini ya mwamvuli wa ECOWAS
Ndio wanaweza kumtumia kwani papa malaika!wote ni wa magharibi tu,ombi lake linawalakini kwanini sasa na huku BRICS Ina miaka zaidi ya 14Marekani na Uingereza waitumie Vatican?! Sikutaraji kuwa naweza kusoma kitu kama hiki toka kwako.
BRICS ipo kiuchumi labda wabadilishe dhamiraIndia ndio mamluki wa kwanza wa US na UK, haitokaa itokee milele India akawa mnyenyekevu hapo BRICKS. WA INDIA ni wengi US, UK na Canada na wanafanya biashara na Siasa huko. India na China ni maadui wakubwa(kugombea mpaka Kati yao)na hawafanyi biashara. Saudi Arabia ni Mamluki wa 2 wa US, Agentina ni Mamluki wa 3 wa Nchi magharibi kupitia Spain(Wajentina ni waispaniola), South Africa ni Mamluki wa chini chini ( Wazungu pale watatoa taarifa kwa US na UK kabla ya mipango ya Bricks haijatekelezwa). Brazil raisi Wao ndio mwenye nia ya Bricks lakini wanasiasa waliobaki wapo upande wa Magharibi kumbuka Bolsonaro alikua ana presha na Bricks kwahiyo akiondoka Lura tu Brazili ni kivuli. BRICKS imeundwa kwa ajili ya China kupata makoloni ya biashara na Urusi kupata Washirika wa Kijeshi zaidi ya hapo amna kitu.
Jumuia inavyo vichwa vinavyojua vinatakiwa kufanya nini. Wao wataamua kama wampe uanachama au la.N
Ndio wanaweza kumtumia kwani papa malaika!wote ni wa magharibi tu,ombi lake linawalakini kwanini sasa na huku BRICS Ina miaka zaidi ya 14
Saudi Arabia kwa sasa uhusiano na USA ni wa kinafiki rejea kauli za Crown Prince Mohamed SalmanLengo kuu la brics ni kupambana na usa na washirika wake hakuna zaidi,malengo mengine ni danganya toto tu. Ukitazama wanataka waondoe matumizi ya dola kama currency ya kibiashara duniani eti kila mtu atumie currenccy yake mara watumie yuani ya china jiulize hili litawezekanaje kwa nchi zenye currency instability.
Sasa wanavyoongeza washirika ndio wana karibisha mamruki wa usa anzia na saudi arabia,kinachoenda kutokea ni mvurugano ni suala la muda tu.
Marekani ameshapoteza credibility yake siyo kwa mataifa ya BRICS tu siku hizi uganda, Burkinafaso , Mali wanamgomea tu maupuuzi yake na hana la kuwafanya.Mkono wa usa humo brics hauwezi kosekana influence yake haiwezi shindwa ku control wanachama wa brics.
Mimi nimejenga hoja juu ya wanaodhani brics inakwepa mkono wa usa kimsingi hilo halipo.
Saudia na Iran hawaivi pamoja kwenye masuala ya udiniSababu ingine yaweza kuwa upande wa nchi za magharibi na Marekani zaona kwamba BRICS imewakubali Iran na Saudi Arabia ambao ni waislam basi nao kwa kuwa majority ni wakristo wameona labda Vatican akae kama "observer" ili kama kuna hitilafu basi Papa awe mpatanishi.
Yaani hiyo itakuwa tayari wameanza kuingiza UDINI kwenye hili la BRICS eti sababu tu Iran na Saudi Arabia watajiunga.
Hao BRICS wanajielewa kuliko sisi tunavyowaelewa.Wasimruhusu, wasithubutu, Huyo ni member wa New World Order.