Pope Francisco aomba kujiunga na BRICS + kama observer

Pope Francisco aomba kujiunga na BRICS + kama observer

Akili ninazo ni mawazo yako tu yamegota.

Fikiri kwanini Vatican ataka awe observer ndani ya BRICS?

Kwani amewahi kuwa observer kwenye umoja wa Ulaya?

Unafahamu maana ya kuwa observer?

Na kwanini iwe sasa Vatican kuomba kuwa observer imepita miaka mingapi tangu BRICS iundwe?
Kweli hili nalo ni ajabu na linapaswa kujadiliwa kabisa.
Papa kaomba kua observer kwa Brics lakini sijui kama aliwahi kua au kuomba kua observer wa G7,EU,AGoa,Ecowas,sadec, Shanghai cooperation,etc.lln ameomba kua observer kwa Brics.
Inaonesha hii Brics Ina mvuto wa aina yake na ni tishio kwa upande wa pili.
 
Sawa, tujipe muda. Ikishinda vizuri, ikishindwa, EU + G7 watakua wababe wa dunia(ununui wala uuzi).
Ha ha haaimi kwatazamo wangu sioni Kama Brics imekuja kushindana na nchi nyingine,malengo yake nadhani ni uchumi TU.
Unajua sehemu mbalimbali duniani Kuna miungano ya aina tofautitofauti kwa ajili ya kuweka mazingira mazuri ya kiuchumi kwa wanachama wao.
Kumbuka Mkuu,uchumi ni vita Kali kushinda vita vya moto.
USA kushika uchumi wa Dunia wala sio kwa ajili ya kuikomboa Dunia,Bali ni kwa faida ya wananchi wake,vivyo hivyo mataifa mengine nayo yanakuja na mbinu nyingine ili kuweza kushinda vita vya kiuchumi na vita vya kiuchumi haimaaanishi chuki Bali ni kupamabana ili kupata faida zaidi,vita vya kiuchumi pia hupiganwa hata na nchi marafiki lkn lengo Kila mmoja apate manufaa.
Tazama USA hata kabla ya vita kati ya Urusi na Ukraine kumbe walikua wanafanya biashara vizuri TU na Urusi,ama USA pamoja na bifu na china lkn wanafanya biashara kubwa sana na china.
 
Habari kutoka Vatican City papa Fransisco ameomba apewe nafasi ya kujiunga na "global South " kama mwangalizi.

Wachambuzi wa medani za kimataifa wanahofu kuwa huwenda ombi lake likagonga mwamba kutokana na kuwa ni miongoni mwa nchi zinazofungamana na wamagharibi.

View attachment 2728854
Wasithubutu itakua ni ujasusi wa nchi za magharibi. Bila shaka vinara wa BRICS urusi na china sio naïve watakua wanaijua vizuri vatican.
 
Kwa kuwa Marekani na Uingereza hazitakubaliwa kujiunga na BRICS basi wao wameamua kuitumia Vatican.

Vatican ni watalaam kwenye tasnia ya ujasusi na watasaidia kuidhibiti BRICS na kuhakikisha wazipata taarifa zote nyeti na kisha kuzipeleka kwa wamarekani na waingereza.

Vatican wajulikana kwa huduma zake nyeti kwenye maeneo ya uchumi na siasa za Dunia hii.

Ila Russia tayari wameng'amua hilo na ni kuona kama watawakubalia Vatican au la.
Ndani ya brics tu tayari kuna moles wa kutosha.
 
Kwa kuwa Marekani na Uingereza hazitakubaliwa kujiunga na BRICS basi wao wameamua kuitumia Vatican.

Vatican ni watalaam kwenye tasnia ya ujasusi na watasaidia kuidhibiti BRICS na kuhakikisha wazipata taarifa zote nyeti na kisha kuzipeleka kwa wamarekani na waingereza.

Vatican wajulikana kwa huduma zake nyeti kwenye maeneo ya uchumi na siasa za Dunia hii.

Ila Russia tayari wameng'amua hilo na ni kuona kama watawakubalia Vatican au la.
Hivi majasusi wa Vatican au G7 ni lazima mpaka wawe members ndio wadukue? Kwenye hao hao Marais wa BRICS trust me Kuna informants wa US same as G7 nako Kuna informants wa BRICS!! Espionage haihitaji membership it's too obvious
 
Hivi majasusi wa Vatican au G7 ni lazima mpaka wawe members ndio wadukue? Kwenye hao hao Marais wa BRICS trust me Kuna informants wa US same as G7 nako Kuna informants wa BRICS!! Espionage haihitaji membership it's too obvious
Unapokua memba unaongeza wigo wa kushawish ajenda
 
Kwa kuwa Marekani na Uingereza hazitakubaliwa kujiunga na BRICS basi wao wameamua kuitumia Vatican.

Vatican ni watalaam kwenye tasnia ya ujasusi na watasaidia kuidhibiti BRICS na kuhakikisha wazipata taarifa zote nyeti na kisha kuzipeleka kwa wamarekani na waingereza.

Vatican wajulikana kwa huduma zake nyeti kwenye maeneo ya uchumi na siasa za Dunia hii.

Ila Russia tayari wameng'amua hilo na ni kuona kama watawakubalia Vatican au la.
Kuna sehemu BRICS wamesema hawatawapokea Marekeni na Uingereza kwenye taratibu zao? Sehemu yoyote au jumuiya yenye zaidi ya nchi 10 tayari hakuna siri ya mambo yanayojadiliwa unless maamuzi yawe yanatolewa na nchi moja.
 
Habari kutoka Vatican City papa Fransisco ameomba apewe nafasi ya kujiunga na "global South " kama mwangalizi.

Wachambuzi wa medani za kimataifa wanahofu kuwa huwenda ombi lake likagonga mwamba kutokana na kuwa ni miongoni mwa nchi zinazofungamana na wamagharibi.

View attachment 2728854
Hata kwenye OIC ni mgeni mwalikwa na Jumuiya ya Kiarabu pia. Sio ajabu.
 
Kwa kuwa Marekani na Uingereza hazitakubaliwa kujiunga na BRICS basi wao wameamua kuitumia Vatican.

Vatican ni watalaam kwenye tasnia ya ujasusi na watasaidia kuidhibiti BRICS na kuhakikisha wazipata taarifa zote nyeti na kisha kuzipeleka kwa wamarekani na waingereza.

Vatican wajulikana kwa huduma zake nyeti kwenye maeneo ya uchumi na siasa za Dunia hii.

Ila Russia tayari wameng'amua hilo na ni kuona kama watawakubalia Vatican au la.
Jesuits ,CIA and MI6 on the beat , triple alliance ambayo imeexist tangia world war 2 ,
Roman Catholic ni tool ya imperialists
 
Hayo mawazo yako kwahiyo india amewakilisha dini yake na mchina kaleta ubudha ndani ya brics,mbona upo mjinga kiasi hichi.
Holy shit , I never imagined this before ,Hili wazo limeniingia muda huu ndio nikaona hii ni divine revelation comes true , ufunuo wa kwenye Bible unatimia sasa , it's the new world order , dini zote zitaungana na kuwa dini moja chini ya mpinga kristo , Bible imedecalre hili .
BRICS ni antichrist au mpinga Kristo ambaye Bible imemuongelea .
Ukiangalia BRICS angle zote za kidini zimekuwa represented na hao members au mataifa yanayounda BRICS yaani uhindu -India ,Ukristo wa mashariki (Orthodoxy) -Russia ,Uislamu madhehebu yote yake mawili (shia na Sunni) -Iran & Saudia , ubudha na atheists (wasio amini dini ) -China , Ukristo wa kikatoliki -Vatican ,BRASIL ,ARGENTINA nk

Mkuu hili andiko lako limeisukuma akili yangu na kuipa namna mpya ya kutazama mambo .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom