Hatuandiki vitu out of nowhere ,tatizo watz hamsomi vitabu ,tafuta hivi vitabu ,visome na uvielewe ,utaelewa nilichoandika hapo juu na utanishukuru , catholic church limetumika hadi kutorosha wale wauaji wa kinazi kule Europe na kuwaficha nchi za Amerika ya kusini ,wale wanazi walifanya mauaji ya mamilioni dhidi ya gypsies ,communits ,wayahudi nk . catholic church limetumika kuua USSR wakishirikiana na CIA na MI6 , Catholic church wamefanya money laundering na cicilian mafia na Cosa nostra , mapinduzi katika nchi mbalimbali ,Kanisa catholic lilidhamini vikundi vya wauaji dhidi ya wakomunist wa nchi za Amerika kusini miaka ya sitini wakishirikiana na CIA katika operation " condor " ,ingia mtandaoni usome operation Condor ,uone unyama uliofanywa na hao wapuuzi , CIA na Vatican waliwasponsor madikteta wauaji kama Pinochet wa Chile ,Trujillo Guatemala nk , mambo mengi maovu na ya kutisha wamefanya na wanaendelea kufanya
View attachment 2730719View attachment 2730720