Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,879
Pope Francis amewapigia magoti na kuwabusu miguu viongozi wa Sudani Kusini kuwaomba wamalize tofauti zao na kuondoa machafuko yanayogharimu maisha ya maelfu ya wananchi wasio na hatia. Mchukua video analia kwa kwikwi kwa tendo hilo. Very touching!