KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,149
[h=3]WABUNGE WA UJERUMANI WATOKA NJE KUMPINGA POPE BENEDICT XVI.[/h]
Pope Benedict XVI akilihutubia Bunge la Ujerumani.
Wabunge wa Bunge la Ujerumani septemba 22,2011 walitoka Bungeni kupinga Papa kulihutubia Bunge hilo. Kitendo hicho walifanya kutokana na kutokukubaliana naye katika mambo matatu. La kwanza wanapinga kwa Kanisa Katoliki kuto ruhusu matumizi ya KONDOMU, la pili kwa vitendo viovu vinavyofanywa na Makasisi ya Kanisa hilo vya kuwadhalilisha watu kijimsia nadhani mtakuwa mnanielewa na mwisho wanapinga kwa Papa kulihutubia Bunge hilo kwa sababu ya kutotaka kuunganisha Siasa na Dini.
Papa huyo ni mjerumani ambaye amezaliwa Bayern Kusini mwa Ujerumani.
Pope Benedict XVI akilihutubia Bunge la Ujerumani.
Wabunge wa Bunge la Ujerumani septemba 22,2011 walitoka Bungeni kupinga Papa kulihutubia Bunge hilo. Kitendo hicho walifanya kutokana na kutokukubaliana naye katika mambo matatu. La kwanza wanapinga kwa Kanisa Katoliki kuto ruhusu matumizi ya KONDOMU, la pili kwa vitendo viovu vinavyofanywa na Makasisi ya Kanisa hilo vya kuwadhalilisha watu kijimsia nadhani mtakuwa mnanielewa na mwisho wanapinga kwa Papa kulihutubia Bunge hilo kwa sababu ya kutotaka kuunganisha Siasa na Dini.
Papa huyo ni mjerumani ambaye amezaliwa Bayern Kusini mwa Ujerumani.