Poor Intelligence system inavyotesa Marais

Nyerere hakuwahi pinduliwa. Tofautisha jaribio la mapinduzi na mapinduzi yenyewe.
Au utwambie alipinduliwa na nani na nani akawa Rais kwenye hizo mara tatu.
Hivi umekaa Darasani kweli wewe?
Nyerere alipinduliwa akaikimbia Ikulu na kwenda kujificha kigamboni kwenye nyumba ya mzee mmoja muuza kahawa hadi jeshi la Uingereza likatuma kikosi cha makomandoo kilichokuja hadi Dar es salaam na kumrudisha Nyerere madarakani,waasi hawakuwa wametangaza kiongozi wao.
Usiropoke usiyoyajua,Tulia ufundishwe
 
Unaona ulivyo konokono. Rais alikimbia ikulu alafu Rais aliyeingia akawa nani?

Definition ya mapinduzi hapo ulipoolewa ni Rais kukimbia ikulu? Nyinyi ndio mlisomea chini ya mwembe alafu ujuaji mwingi kwenye mada zenye akili kuzidi ukoo wako mzima. Unatakiwa kusubiri mada za kilimo cha nyanya ndio uchangie

Maswali matatu;
1. Nyerere alipinduliwa lini na lini?
2. Nyerere alipinduliwa na nani mara zote tatu?
3. Nani akawa Rais baada ya mapinduzi mara zote tatu?

Jinsi ulivyo bwege unasema alipinduliwa mara tatu. Kwa hiyo walikuwa wanampindua kisha anagombea anashinda au ilikuwaje
Mkuu acha kupaniki, mapinduzi siyo lazima Rais atangazwe , kuikimbia Ikulu kwa sababu ya kuogopa kuuawa hayo ni mapinduzi tosha,hebu jichukulie mfano wewe hapo,jamaa limekuja nyumbani kwako kukuua ili limiki mkeo na kisha ukaikimbia nyumba yako kujificha usiuawe hadi ukapata msaada ndo ukarudi kwako.
Sasa wakati ukiwa umekimbia jamaa linashindwa nini kumpiga mashine mkeo?
Kwa hiyo waasi wale walingia Ikulu huku Nyerere akiwa mafichoni hayo ni mapinduzi
 
Mkuu acha kupaniki, mapinduzi siyo lazima Rais atangazwe , kuikimbia Ikulu kwa sababu ya kuogopa kuuawa hayo ni mapinduzi tosha,hebu jichukulie mfano wewe hapo,jamaa limekuja nyumbani kwako kukuua ili limiki mkeo na kisha ukaikimbia nyumba yako kujificha usiuawe hadi ukapata msaada ndo ukarudi kwako.
Sasa wakati ukiwa umekimbia jamaa linashindwa nini kumpiga mashine mkeo?
Kwa hiyo waasi wale walingia Ikulu huku Nyerere akiwa mafichoni hayo ni mapinduzi
Tunazungumzia mapinduzi unaleta habari za uzinzi. Kuna maswali matatu hapo uliponukuu, unaweza jibu hata moja?
 
Hivi umekaa Darasani kweli wewe?
Nyerere alipinduliwa akaikimbia Ikulu na kwenda kujificha kigamboni kwenye nyumba ya mzee mmoja muuza kahawa hadi jeshi la Uingereza likatuma kikosi cha makomandoo kilichokuja hadi Dar es salaam na kumrudisha Nyerere madarakani,waasi hawakuwa wametangaza kiongozi wao.
Usiropoke usiyoyajua,Tulia ufundishwe
Akili zako hazijui kutofautisha kati ya Mutiny na Coup. Unachokisema ni mutiny, ambazo ni fujo za wanajeshi ila sio mapinduzi. ID nzima na akili zake inashindwa tofautisha jambo la kitoto hivi
 
Unapochaguliwa kuwa Rais wa nchi ni lazima kwanza uhakikishe kuwa Intelligence ya Taifa unaloliongoza iko imara kuliko chochote.
Yaani hata panya lazima ujue anawaza nini,siyo rahisi kwa Taifa lenye Intelligence imara kukumbwa na mapinduzi ya kijeshi,labda yawe organized na Taifa kubwa,na hata hapo kila element inayoinuka kinyume chako lazima uifyekelee mbali.
Rais Alpha Konde yalimkuta kwa sababu ya poor Intelligence system,Mr Slim hapendwi kabisa na watu wake ila strong Intelligence system inamwokoa sana yule Bwege.
Ndo maana huwa anawafuata na kuwafyekelea mbali hata nje ya Taifa lake.
Haiwezekani kiongozi una mfumo imara wa Intelligence halafu kamanda wa makomandoo ana organize kikosi na kukufuata Ikulu,na kisha hata waliokuzunguka Ikulu wanashindwa hata kukutorosha kisha unakamatwa kama kuku na kutupwa Lupango.
Hayati Hussein Mubarak hakujua kuwa Chief of army aliutamani sana Urais wake.
Siamanishi madikteta wasitolewe madarakani ,nazungumzia jinsi uimara wa Intelligence ktk Taifa ulivyo na nguvu.
Intelligence huwa haifeli popote,kwa mfano Rais kachokwa kabisa na wananchi ,ni kazi ya Intelligence system kumshauri Rais astaafu kwa amani ili kulinda heshima yake.
Mossad wanalala kwenye sebule ya Ikulu ya Iran ndo maana wanasayansi muhimu wa Nuclear wa Iran waliuawa wote ndani ya ardhi ya Iran na hakuna hata jasusi mmoja wa Mossad ambaye Iran ilifanikiwa kumkamata.
Jasusi la mwisho kufanya mauji Iran lilikuwa jasusi la kike lililoingia Iran Kama mtalii kutoka Australia,hii medani ukiijua vizuri hata mkeo akichepuka lazima ujue hata ajikaushe vp.
North Korea inajivunia Intelligence system imara na si nguvu za kijeshi Kama wanavyodhani wengi.
South Korea kuna maelfu ya majasusi kutoka North Korea walioingia humo Kama Defectors.
Na hutuma Taarifa za siri kila siku kwa mbinu iliyojaa uhodari wa kupindukia.
Mtu wa kwanza na wa mwisho kumlinda Rais huwa ni Rais mwenyewe.
ITAENDELEA
Jeshi wakiamua Intelligence yako inasaidia nini? Unaweza kumuua mkuu wa majeshi? Umewahi kusikia mahali mkuu wa majeshi ameuawa?
 
Unaona ulivyo konokono. Rais alikimbia ikulu alafu Rais aliyeingia akawa nani?

Definition ya mapinduzi hapo ulipoolewa ni Rais kukimbia ikulu? Nyinyi ndio mlisomea chini ya mwembe alafu ujuaji mwingi kwenye mada zenye akili kuzidi ukoo wako mzima. Unatakiwa kusubiri mada za kilimo cha nyanya ndio uchangie

Maswali matatu;
1. Nyerere alipinduliwa lini na lini?
2. Nyerere alipinduliwa na nani mara zote tatu?
3. Nani akawa Rais baada ya mapinduzi mara zote tatu?

Jinsi ulivyo bwege unasema alipinduliwa mara tatu. Kwa hiyo walikuwa wanampindua kisha anagombea anashinda au ilikuwaje
Mambo yote yalifanyika enzi za GIZA, wewe utayajulia wapi kijana? Ulitaka iandikwe kwenye gazeti la Mfanyakazi au Mzalendo, sivyo?
 
Mambo yote yalifanyika enzi za GIZA, wewe utayajulia wapi kijana? Ulitaka iandikwe kwenye gazeti la Mfanyakazi au Mzalendo, sivyo?
Kuna maswali matatu hapo na huna jibu hata moja. Gazeti la Mfanyakazi au Mzalendo lingeshindwa vipi kuandika, ushawahi ona wapi mapinduzi yanafichwa kwenye vyombo vya habari.

Mapinduzi yakitokea vyombo vinavyohusika kujulisha watu ni vya habari yani wanaweza wasishike bunge wala mahakama wakaanza na media. Unaona unavyotia aibu
 
Mkuu ishu siyo ballot box,ishu ni katiba mbovu inayowa favor ma CCM kutawala hata Kama wameshindwa .
Tunaomba sana Mungu,tena sana yaliyotokea Guinea na kwingineko yatokee na Tanzania.
CCM ni kenge,
Ni swala la muda kwasasa nchi na uchumi vipo "autopilot mode". Huwezi nambia hili taifa lina serikali ya raia inayowajali na kuwalinda. This is pure nonsense.
 
Jidanganye, Nyerere alipinduliwa mara mbili. Mara ya tatu ilikua waondoke na kichwa chake, akawahi kujiuzulu ili aondoke kwa heshima. Achana na MAHABA YA CCM kijana.
Yale hayakuwa mapinduzi bali ni fitina na fujo za chini chini. Hizo hata sasa zinatokea. Hivi unayajua mapinduzi in the actual sense?!
 
Yale hayakuwa mapinduzi bali ni fitina na fujo za chini chini. Hizo hata sasa zinatokea. Hivi unayajua mapinduzi in the actual sense?!
Jeshi linapoingilia mamlaka ya nchi, kitaalam inaitwaje huko Lumumba? MATAGA bana, hovyo kabisa.
 
Back
Top Bottom