Poor Intelligence system inavyotesa Marais

sisi hapa kuna TISI halafu kuna sistimu.
yaani unapoona bwana asumani anatoka PITI anakwenda kuwa head TISI,sio bahati mbaya.
hapa sistimu ama coordination inaonyesha ni jinsi gani inafanya kazi kwa mfumo complex sana.

leo hii kaa na makomando wako mpange namna gani mtavamia magogoni mkambebe mkuu,utashangaa kati yao makomandoo 12 ulikusanya 4 wameshatoa ripoti,mnapokelewa na kuhifandhiwa safe house pamoja nao hata msijue mlikosea wapi.

nyerere alijua mengi ambayo binaadamu wengi na viongozi wenzie africa hawakujua.
Sawa, yametusaidiaje hayo yoooteee kutuondoa kwenye huu umasikini uliotopea, wizi wa mali za umma (Richmond, mgao wa mabilioni ya mkombozi Bank, kuuziwa vivuko vibovu),rushwa, ufisadi mkubwa, ugaidi (issue ya Hamza, kumshambuliwa ubalozi wa Marekani nk)...
 
Sawa, yametusaidiaje hayo yoooteee kutuondoa kwenye huu umasikini uliotopea, wizi wa mali za umma (Richmond, mgao wa mabilioni ya mkombozi Bank, kuuziwa vivuko vibovu),rushwa, ufisadi mkubwa, ugaidi (issue ya Hamza, kumshambuliwa ubalozi wa Marekani nk)...
Ni juhudi zako Tuu ndo zinaweza kukuondoa Kwenye hayo. Ukipamba a ukawa na hela wata hutawaza kina Hamza. Serikali haijawahi kumuondoa mtu bata Nchi zilizo endelea Kama China na Marekani bado maisha ni magumu na kuna shida kibaoo.
NB.
Usitegemee Serikali kukuondolea masumbuko yako. Pambana Mwenyewe tumia fursa zilizo inshallah utatoboa
 
Ni juhudi zako Tuu ndo zinaweza kukuondoa Kwenye hayo. Ukipamba a ukawa na hela wata hutawaza kina Hamza. Serikali haijawahi kumuondoa mtu kwenye shida zake. Hata Nchi zilizo endelea Kama China na Marekani bado maisha ni magumu na kuna shida kibaoo.
NB.
Usitegemee Serikali kukuondolea masumbuko yako. Pambana Mwenyewe tumia fursa zilizo inshallah utatoboa
 
Lakini hao sistimu uliowataja na kuwatukuza wanashindwa kutupa viongozi bora watakaoipeleka nchi mbele. Badala yake wamejaa mafisadi tu.
System yetu imejaa wachumia tumbo tu ndio maana waketa uzi wamesema unashindwa kumshauri chief Hangaya kuwa hapendwi.

Yajayo yanafurahusha

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Kazi ya sistimu sio kuleta viongozi Bora(imara) ila Ni kulinda Viongozi

Ndio waachwe wamalize Muda wao watoke kidemokrasia Kama walivyo ingia. Sasa Kama hawana Tija kwa Taifa ndo unataka wafanywe Kama Alfa Konde au Yulee Rais wa Sudan Kaskazini..?? Lazima tujifunze hata kwa makosa. Tukikosea kuchagua acha tunyooshwe ili Next time tutulize akili Kwenye Ballots paper
Mkuu ishu siyo ballot box,ishu ni katiba mbovu inayowa favor ma CCM kutawala hata Kama wameshindwa .
Tunaomba sana Mungu,tena sana yaliyotokea Guinea na kwingineko yatokee na Tanzania.
CCM ni kenge,
 
sisi hapa kuna TISI halafu kuna sistimu.
yaani unapoona bwana asumani anatoka PITI anakwenda kuwa head TISI,sio bahati mbaya.
hapa sistimu ama coordination inaonyesha ni jinsi gani inafanya kazi kwa mfumo complex sana.

leo hii kaa na makomando wako mpange namna gani mtavamia magogoni mkambebe mkuu,utashangaa kati yao makomandoo 12 ulikusanya 4 wameshatoa ripoti,mnapokelewa na kuhifandhiwa safe house pamoja nao hata msijue mlikosea wapi.

nyerere alijua mengi ambayo binaadamu wengi na viongozi wenzie africa hawakujua.
Jidanganye, Nyerere alipinduliwa mara mbili. Mara ya tatu ilikua waondoke na kichwa chake, akawahi kujiuzulu ili aondoke kwa heshima. Achana na MAHABA YA CCM kijana.
 
Jidanganye, Nyerere alipinduliwa mara mbili. Mara ya tatu ilikua waondoke na kichwa chake, akawahi kujiuzulu ili aondoke kwa heshima. Achana na MAHABA YA CCM kijana.
Nyerere hakuwahi pinduliwa. Tofautisha jaribio la mapinduzi na mapinduzi yenyewe.
Au utwambie alipinduliwa na nani na nani akawa Rais kwenye hizo mara tatu.
 
Nyerere hakuwahi pinduliwa. Tofautisha jaribio la mapinduzi na mapinduzi yenyewe.
Au utwambie alipinduliwa na nani na nani akawa Rais kwenye hizo mara tatu.
Unaelewa maana ya kupinduliwa wewe phimbi? Kitendo cha Rais kukimbia Ikulu mnakiitaje kwa lugha ya KIUJANJA UJANJA huko Lumumba?
 
Unaelewa maana ya kupinduliwa wewe phimbi? Kitendo cha Rais kukimbia Ikulu mnakiitaje kwa lugha ya KIUJANJA UJANJA huko Lumumba?
Unaona ulivyo konokono. Rais alikimbia ikulu alafu Rais aliyeingia akawa nani?

Definition ya mapinduzi hapo ulipoolewa ni Rais kukimbia ikulu? Nyinyi ndio mlisomea chini ya mwembe alafu ujuaji mwingi kwenye mada zenye akili kuzidi ukoo wako mzima. Unatakiwa kusubiri mada za kilimo cha nyanya ndio uchangie

Maswali matatu;
1. Nyerere alipinduliwa lini na lini?
2. Nyerere alipinduliwa na nani mara zote tatu?
3. Nani akawa Rais baada ya mapinduzi mara zote tatu?

Jinsi ulivyo bwege unasema alipinduliwa mara tatu. Kwa hiyo walikuwa wanampindua kisha anagombea anashinda au ilikuwaje
 
Jidanganye, Nyerere alipinduliwa mara mbili. Mara ya tatu ilikua waondoke na kichwa chake, akawahi kujiuzulu ili aondoke kwa heshima. Achana na MAHABA YA CCM kijana.

nyerere alipinduliwa mara mbiliulisomea wapi hii???

majaribio 3 yote yalifeli,hayo ndio makubwa yaliyorekodiwa na mengine 6 mdogo madogo.

jinsi gani yalifeli,katulie na chanzo chako tena.
 
Ni juhudi zako Tuu ndo zinaweza kukuondoa Kwenye hayo. Ukipamba a ukawa na hela wata hutawaza kina Hamza. Serikali haijawahi kumuondoa mtu bata Nchi zilizo endelea Kama China na Marekani bado maisha ni magumu na kuna shida kibaoo.
NB.
Usitegemee Serikali kukuondolea masumbuko yako. Pambana Mwenyewe tumia fursa zilizo inshallah utatoboa
Usidanganye umma na kuongea vitu visivyoeleweka. Kazi ya serikali duniani kote ni kukusanya kodi na kutoa huduma kwa raia zake, kutengeneza mazingira rafiki kwa raia zake kujiajiri, kuwatafutia masoko wakulima, kutengeneza mazingira rafiki kwa sekta binafsi na wafanyabiashara kufanya kazi zao. Haya kama hayafanyiki hata ukipambana ni kazi bure na wengi unaowaita wapambanaji ni wezi au wakwepa kodi. Ni vigumu sana mtu kufanikiwa hapa bongo kama anafanya mambo yake kihalali. Mfumo mzima umeoza.
 
Kazi ya sistimu sio kuleta viongozi Bora(imara) ila Ni kulinda Viongozi

Ndio waachwe wamalize Muda wao watoke kidemokrasia Kama walivyo ingia. Sasa Kama hawana Tija kwa Taifa ndo unataka wafanywe Kama Alfa Konde au Yulee Rais wa Sudan Kaskazini..?? Lazima tujifunze hata kwa makosa. Tukikosea kuchagua acha tunyooshwe ili Next time tutulize akili Kwenye Ballots paper😁😁
Chaguzi nyingi za nchi za Afrika, wananchi hawakosei kuchagua, isipokuwa hiyo hiyo system unayoitetea ndio inavuruga uchaguzi kwa kuweka viongozi ambao wananchi hawakuwachagua!
 
Usidanganye umma na kuongea vitu visivyoeleweka. Kazi ya serikali duniani kote ni kukusanya kodi na kutoa huduma kwa raia zake, kutengeneza mazingira rafiki kwa raia zake kujiajiri, kuwatafutia masoko wakulima, kutengeneza mazingira rafiki kwa sekta binafsi na wafanyabiashara kufanya kazi zao. Haya kama hayafanyiki hata ukipambana ni kazi bure na wengi unaowaita wapambanaji ni wezi au wakwepa kodi. Ni vigumu sana mtu kufanikiwa hapa bongo kama anafanya mambo yake kihalali. Mfumo mzima umeoza.
Ni KWELI ila kwa mind set yako hiyo. Sisi vijana hasa wa sasa tuki iishi nao tutakufa Maskini.
Kwa mfano tu nifunga ng'ombe zangu 05 za maziwa na nikawa na kuku wa kienyeji 10 nikazalisha maziwa na mayai na nikasupply kwa watu wanao na mahotel nikalima na heka zangu mbili za mahindi kule heru juu kasulu na Nusu yangu ya Alizeti palee chamwino mungu akajalia Mvua na nikavuna Vizuri nikaweka ndani mpaka msimu wa Scarcity then nikatoa vitu vyangu na kuviuza kwa Bei nzurii . Nitahitaji Serikali hapo ili kuingiza hela na kuendelea..??
Mo dewji Salim Bakhresa ,GSM na wengine wengi Kuna mtu alitafutiwa soko na Serikali..?? Ukikaa ukasubiri kutengenezewa mazingira na kutafutiwa masoko na serikali utakufa Maskini. Fuatilia historia ya Rock fella family au KFC jinsi vilivyo anza utanielewa. Kwa mtu mwenyew akili ya kijasiliamali Scarcity and demand ndo kitu pekee anacho hitaji . Na bata Pekee ndio wanao subiri kutengenezewa mazingira ila mtu Tena unaishi Afrika inatakiwa ujiongeze. Angalia Nini hamna Kwenye mazingira yako ,kina lipa kiasi gani then changamkia fursa hiyoo. AFRIKA NZIMA HAKUNA SERIKALI ITAKAYO KUJA KUTENGENEZA MAZINGIRA NA KUWATAFUTIA MASOKO WATU WOTE. Jiongezee tumia akilia na maarifa ulio nayo. Serikali ni watu na watu ndio Mimi na wewe.
Wake up !!
 
Chaguzi nyingi za nchi za Afrika, wananchi hawakosei kuchagua, isipokuwa hiyo hiyo system unayoitetea ndio inavuruga uchaguzi kwa kuweka viongozi ambao wananchi hawakuwachagua!
Kaka Tatizo tuna mihemko ya kisiasa linapokuja suala la Kufanya maamuzi ya Msingi. Kuna watu ni wanachama Fulani ani wao Hawa angalii Chama kina msimamisha nanii ani hata kama Mbunge ni bubu ila tu ndo amesimamishwa kuwa mgombea Fulani wa Chama X Basi makada wao wako radhi wampigie Campaign na wamchangue huyoo huyooo na ubovubwake wote kwa kuwa tu ni wachama chao.
Hiyoo ndo shida yetu . Japo ni kweli Kuna wakati system inavuruga Uchaguzi(kwa mfano Uchaguzi wa Mwaka Jana).
 
Unaona ulivyo konokono. Rais alikimbia ikulu alafu Rais aliyeingia akawa nani?

Definition ya mapinduzi hapo ulipoolewa ni Rais kukimbia ikulu? Nyinyi ndio mlisomea chini ya mwembe alafu ujuaji mwingi kwenye mada zenye akili kuzidi ukoo wako mzima. Unatakiwa kusubiri mada za kilimo cha nyanya ndio uchangie

Maswali matatu;
1. Nyerere alipinduliwa lini na lini?
2. Nyerere alipinduliwa na nani mara zote tatu?
3. Nani akawa Rais baada ya mapinduzi mara zote tatu?

Jinsi ulivyo bwege unasema alipinduliwa mara tatu. Kwa hiyo walikuwa wanampindua kisha anagombea anashinda au ilikuwaje
Unapowazungumzia waliosoma chini ya mwembe unatuingiza mpaka tusiokuwepo kwenye huo mjadala
 
jibu tamu sana hili wanaojifanya wanajua siku zote huwa kimya wanasubiri mwingine aseme ndio waanze kuleta ujuaji.
Hawa ndio wale hata shuleni walikuwa wanasubiri wenzao wafeli ndio waanze kuwananga na kujifanya walikuwa wanajua sababu zilizowafanya wafeli.
 
Jidanganye, Nyerere alipinduliwa mara mbili. Mara ya tatu ilikua waondoke na kichwa chake, akawahi kujiuzulu ili aondoke kwa heshima. Achana na MAHABA YA CCM kijana.
Ndio naisikia leo hii, dah!
 
Back
Top Bottom