William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
malezi mazuri aliyopewa na ccm......
sijui waona point yangu hapo??
Mkuu point yako ninaiona, lakini ni lazima ukubali kuwa kwenye maisha kuna mwanzo na mwisho wa kila kitu, siasa ina mwisho na mwanzo wake, lakini kwenye hili rais wetu aliyetumiwa salam ni mwenyekiti wa CCM, na nchi yetu inaongozwa kwa sera za CCM, na siku zote siasa huwa haina mwiko kwenye kubeba credit, kwa hiyo mpaka pale Chadema, iatakapoweza kutawala huna choice but to live na ishus kama hizi,
Watuhumiwa wa ufisadi walituhumiwa na Dr. Slaaa, akishirikaiana na Zitto, lakini credit inmewaendea Chadema nzima, hiyo ni fact of politics, hakuna anyeweza ku-argue against mkulu jamani tumeshakuwa kwenye hii forum for tooo long haya mambo mengine tusiwe tunapoteza muda na nafasi bure hapa forum, jamani kuna wanaoilipia hii forum ili iwepo hapa, sio buree tuwaonee huruma sometimes kwamba wanaishia kulipia NONESENSE kama hizi hoja uchwara!
Yaaani kweli saa hizi taifa linateketea sisi tuanze kufundisha somo la the works of Political credits? I mean Pleaseee!
sijui waona point yangu hapo??
Mkuu point yako ninaiona, lakini ni lazima ukubali kuwa kwenye maisha kuna mwanzo na mwisho wa kila kitu, siasa ina mwisho na mwanzo wake, lakini kwenye hili rais wetu aliyetumiwa salam ni mwenyekiti wa CCM, na nchi yetu inaongozwa kwa sera za CCM, na siku zote siasa huwa haina mwiko kwenye kubeba credit, kwa hiyo mpaka pale Chadema, iatakapoweza kutawala huna choice but to live na ishus kama hizi,
Watuhumiwa wa ufisadi walituhumiwa na Dr. Slaaa, akishirikaiana na Zitto, lakini credit inmewaendea Chadema nzima, hiyo ni fact of politics, hakuna anyeweza ku-argue against mkulu jamani tumeshakuwa kwenye hii forum for tooo long haya mambo mengine tusiwe tunapoteza muda na nafasi bure hapa forum, jamani kuna wanaoilipia hii forum ili iwepo hapa, sio buree tuwaonee huruma sometimes kwamba wanaishia kulipia NONESENSE kama hizi hoja uchwara!
Yaaani kweli saa hizi taifa linateketea sisi tuanze kufundisha somo la the works of Political credits? I mean Pleaseee!