Sauti ya Mamlaka
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,468
- 2,144
Lengo la thread hii ni kutambua mchango wa wakili msomi Peter Kibatala kiukwel anafanya kazi nzuri sana katika mapambano ya haki na utawala wa sheria hapa kwetu Tanzania
Hivo ningependa muungane na mm katika kumpongeza wakili huyu nguli na mjuzi wa sheria.
Hivo ningependa muungane na mm katika kumpongeza wakili huyu nguli na mjuzi wa sheria.