OMBI: Rais Samia mteue Wakili msomi Peter Kibatala kuwa Jaji

Mdukuzii

JF-Expert Member
Jun 27, 2022
2,555
6,381
Nchi yetu ina wasomi wengi ila wasomi wanaotendea haki taaluma zao ni wachache sana.

Peter Kibatala ni mmoja wao

Hii nchi ni yetu sote kama asali kila mtu anataka kulamba.

Kuna viongozi lukuki sana wapo serikalini na walikuwa upinzani na majority wanafanya vizuri sana

Sifa ya kuwa Jaji ni kuwa na shaada ya sheria na experience ya miaka isiyopungua kumi

Peter Kibatala anazo sifa zote hizo.

Jaji Augustino Ramadhani alikuwa Jaji Mkuu huku ana kadi ya CCM,punde tu baada ya kustaafu akagombea urais akiwa na kadi active kabisa.imelipiwa tangu 1977.

Tunahitaji mchango wa huyu msomi kulijenga Taifa letu katika kona nyingine akiwa kama Jaji.

Ni ombi tu
 
Kuna sifa gani za ziada alizonazo hadi kuwapita mawakili wenzake na kuitwa "wakili msomi"?
Tunao mawakili wangapi wenye elimu na vigezo kama vyake?
Au kuitetea Chadema na Mbowe ndio stashahada ya ziada?
 
Nchi yetu ina wasomi wengi ila wasomi wanaotendea haki taaluma zao ni wachache sana.

Peter Kibatala ni mmoja wao

Hii nchi ni yetu sote kama asali kila mtu anataka kulamba.

Kuna viongozi lukuki sana wapo serikalini na walikuwa upinzani na majority wanafanya vizuri sana

Sifa ya kuwa Jaji ni kuwa na shaada ya sheria na experience ya miaka isiyopungua kumi

Peter Kibatala anazo sifa zote hizo.

Jaji Augustino Ramadhani alikuwa Jaji Mkuu huku ana kadi ya CCM,punde tu baada ya kustaafu akagombea urais akiwa na kadi active kabisa.imelipiwa tangu 1977.

Tunahitaji mchango wa huyu msomi kulijenga Taifa letu katika kona nyingine akiwa kama Jaji.

Ni ombi tu,

Kibatala hataweza hiyo kazi ya ujaji maana hatakubaliana kuelekezwa na watawala namna ya kuendesha kesi. Watu wenye uoga wa maisha na kupenda maisha ya mserereko ndio rahisi kukubali hizo nafasi.
 
Nchi yetu ina wasomi wengi ila wasomi wanaotendea haki taaluma zao ni wachache sana.

Peter Kibatala ni mmoja wao

Hii nchi ni yetu sote kama asali kila mtu anataka kulamba.

Kuna viongozi lukuki sana wapo serikalini na walikuwa upinzani na majority wanafanya vizuri sana

Sifa ya kuwa Jaji ni kuwa na shaada ya sheria na experience ya miaka isiyopungua kumi

Peter Kibatala anazo sifa zote hizo.

Jaji Augustino Ramadhani alikuwa Jaji Mkuu huku ana kadi ya CCM,punde tu baada ya kustaafu akagombea urais akiwa na kadi active kabisa.imelipiwa tangu 1977.

Tunahitaji mchango wa huyu msomi kulijenga Taifa letu katika kona nyingine akiwa kama Jaji.

Ni ombi tu,
Kwa uadilifu (integrity) upi alokuwa nao? au unadhani hayo mambo ni kama mnavyodanganyana mitandaoni!!!????...huna ukijuacho, hayo mambo hayahitaji ushabiki, kamuulize Mbowe kwanza kwa nini aliomba msamaha wakati hajatenda yale makosa kama mlivyoaminishwa.
 
Kibatala hataweza hiyo kazi ya ujaji maana hatakubaliana kuelekezwa na watawala namna ya kuendesha kesi. Watu wenye uoga wa maisha na kupenda maisha ya mserereko ndio rahisi kukubali hizo nafasi.
We umeongea
 
Kwa uadilifu upi alokuwa nao? au unadhani hayo mambo ni kama mnavyodanganyana mitandaoni!!!????...huna ukijuacho, hayo mambo hayahitaji ushabiki, kamuulize Mbowe kwanza kwa nini aliomba msamaha wakati hajatenda yale makosa kama mlivyoaminishwa.

Siku mahakama zikiwa huru, ndio utajua uwezo wa kina Kibatala. Sio hizo mahakama za kuchukua maelekezo kwa viongozi. Ule upuuzi unaoendelea kwenye mahakama zetu, ndio hupelekea wazungu kutuita manyani.
 
Kwa uadilifu (integrity) upi alokuwa nao? au unadhani hayo mambo ni kama mnavyodanganyana mitandaoni!!!????...huna ukijuacho, hayo mambo hayahitaji ushabiki, kamuulize Mbowe kwanza kwa nini aliomba msamaha wakati hajatenda yale makosa kama mlivyoaminishwa.
We ndio unaleta ushabiki mbowe anaingiaje humu
 
Nchi yetu ina wasomi wengi ila wasomi wanaotendea haki taaluma zao ni wachache sana.

Peter Kibatala ni mmoja wao

Hii nchi ni yetu sote kama asali kila mtu anataka kulamba.

Kuna viongozi lukuki sana wapo serikalini na walikuwa upinzani na majority wanafanya vizuri sana

Sifa ya kuwa Jaji ni kuwa na shaada ya sheria na experience ya miaka isiyopungua kumi

Peter Kibatala anazo sifa zote hizo.

Jaji Augustino Ramadhani alikuwa Jaji Mkuu huku ana kadi ya CCM,punde tu baada ya kustaafu akagombea urais akiwa na kadi active kabisa.imelipiwa tangu 1977.

Tunahitaji mchango wa huyu msomi kulijenga Taifa letu katika kona nyingine akiwa kama Jaji.

Ni ombi tu,
Ndugu yangu usomi na uadilifu havina maana ktk Teuzi chini ya serikali za ccm Bali kigezo kikubwa Ni mteuliwa awe chawa Pro.wa ccm....
 
Nchi inajengwa na wenye moyo kisha inaliwa kimasihara na wenye meno...

Ndugu zangu tuendelee kuvumilia huenda tutapewa glucose mbinguni tupoze machungu
 
Kwa uadilifu (integrity) upi alokuwa nao? au unadhani hayo mambo ni kama mnavyodanganyana mitandaoni!!!????...huna ukijuacho, hayo mambo hayahitaji ushabiki, kamuulize Mbowe kwanza kwa nini aliomba msamaha wakati hajatenda yale makosa kama mlivyoaminishwa.
Una picha au hata voice note Mbowe akiomba msamaha?
 
Back
Top Bottom